Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Mkuu,hata 70,000 wanayolipa haistahili. Ukiwa mbunge maana yake uhudhurie vikao vya bunge. Ndo kazi yako. Sasa kwa nini ulipwe?
Mbunge anapoomba kura anasema kazi ninayoomba ni pamoja na kuwawakilisha bungeni, sasa hiyo kazi aliyoiomba atalipwaje mbona Daktari, Mwalimu hawalipwi posho? ili hali wote wanafanya kazi walizoomba