Ofa ya pasaka kwa wateja wa airtel

dah kweli wananchi mna hasira...afu binadamu wa humu ndani kwann mmekaa kishari shari sana,kuna wengine hapa ingekua face to face ningeshakula makofi tena mengi tu...Hayo ni mawazo yenu ndugu wateja afadhali nyie mnaosema kuliko wanaohama kimya kimya...Mnasema kwa sababu mnaipenda Airtel...ofa nyingi zaid zinakuja mtachoka nyie tu!,Justwait the time is coming

mkuu sio kawaida kwa wananchi kuwa na hasira ila kuna vijimambo vidogo vidogo vinavyo kela kama umwisoma post yangu ambayo ndio iliyo fungua ukurasa nadhani umepata picha.mimi ninaishi.shinyanga niliwahi kupigiwa simu toka zain wakihitaji maelezo yangu yatakayo wasaidia kunifikishia zawdi yangu huku.bila hiyana nilijikuta na mzee mzima ninajieleza kwa ufasaha huku nikichekelea. looh!!!!!!!!!! kumbe nilikuwa ninazugwa kitoto ili nisiendelee kulia.mwe!!! tangu siku hiyo nikawa kila nikipiga simu kuuliza wamefikia wapi juu ya ile kadi waliyo niahidi majibu ikawa oooh bado inatengenezwa mala oh! tutakutumia mala njoo dar. bahati nzuri kama mala mbili tatu hivi nilifika katika jengo la zain pale morocco,hilo jengo unapoingia tu mkono wa kulia ndipo kipo kile kitengo cha rewardz.huku nikichekelea kwamba leo ninapata ile gift yangu.mweeeeeeee!!!!!!!! nilipo waeleza tu wakaanza kuni chukua maelezo tena huku wanapekuwa katika computer yao pale.majibu nilyopata nikuwa kweli ndugu ********** umeshinda kadi sijui in gold sijui silver .kwamba wewe nenda tu kadi yako bado inatengenezwa. mkuu kama kweli mnatujari kwanza tupeni maelezo yatakayo jibu maswali yetu hapa.
 
mkuu sio kawaida kwa wananchi kuwa na hasira ila kuna vijimambo vidogo vidogo vinavyo kela kama umwisoma post yangu ambayo ndio iliyo fungua ukurasa nadhani umepata picha.mimi ninaishi.shinyanga niliwahi kupigiwa simu toka zain wakihitaji maelezo yangu yatakayo wasaidia kunifikishia zawdi yangu huku.bila hiyana nilijikuta na mzee mzima ninajieleza kwa ufasaha huku nikichekelea. looh!!!!!!!!!! kumbe nilikuwa ninazugwa kitoto ili nisiendelee kulia.mwe!!! tangu siku hiyo nikawa kila nikipiga simu kuuliza wamefikia wapi juu ya ile kadi waliyo niahidi majibu ikawa oooh bado inatengenezwa mala oh! tutakutumia mala njoo dar. bahati nzuri kama mala mbili tatu hivi nilifika katika jengo la zain pale morocco,hilo jengo unapoingia tu mkono wa kulia ndipo kipo kile kitengo cha rewardz.huku nikichekelea kwamba leo ninapata ile gift yangu.mweeeeeeee!!!!!!!! nilipo waeleza tu wakaanza kuni chukua maelezo tena huku wanapekuwa katika computer yao pale.majibu nilyopata nikuwa kweli ndugu ********** umeshinda kadi sijui in gold sijui silver .kwamba wewe nenda tu kadi yako bado inatengenezwa. mkuu kama kweli mnatujari kwanza tupeni maelezo yatakayo jibu maswali yetu hapa.

pole sana mkuu...
 
Siku nyingine makampuni ya simu yatambue kuwa si wateja wao wote ni watoto.

Matangazo yao mengi ni ya kitoto toto.

Mpango wa rewards points nao ulionesha mambo ya kitoto. Lo! Bila kujali mteja and rewards points ngapi, wote tulisukumiziwa toys. Mimi niliporudi home nayo, mtoto akalilia akijua ndiye mwenye right ya kuchezea toy na si mzazi. Ikabidi nimpe.


Hawa hawana adabu kabisa. Wanatoa visimu hata mlinzi wako huwezi kumpa, aaarggghhh!!!
 
Kukimbilia aina ya zawadi hizi ni mpango wa makampuni haya ikiwemo hili kupima kiwango cha ujinga wetu.
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL

Mkuu mbona hizo namba za kucheki balance zinaonekana na kama service isiyokuwapo, au ndio mpaka saa 6 usiku ndio zinafanya kazi
 
dah kweli wananchi mna hasira...afu binadamu wa humu ndani kwann mmekaa kishari shari sana,kuna wengine hapa ingekua face to face ningeshakula makofi tena mengi tu...Hayo ni mawazo yenu ndugu wateja afadhali nyie mnaosema kuliko wanaohama kimya kimya...Mnasema kwa sababu mnaipenda Airtel...ofa nyingi zaid zinakuja mtachoka nyie tu!,Justwait the time is coming

alafu internet speed yenu siku hzi ipo slow sana mpaka wengi tunabidi tujiunge na light ya tigo 450 kwa siku mbili then unlimited
hamuoni kama mnatuingiza gharama mara 2?
 
alafu internet speed yenu siku hzi ipo slow sana mpaka wengi tunabidi tujiunge na light ya tigo 450 kwa siku mbili then unlimited
hamuoni kama mnatuingiza gharama mara 2?

light day ya tigo sio unlimited!
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

HAMIA AIRTEL




Ndg yangu hii haijakaa uzuri hata kidogo, I think imepotea njia, naomba ihamishiwe kwe matangazo ya biashara, af am in doubt kwamba mzee una elements za kimagamba magamba hivi.
 
Wadau punguzeni jazba ingawa sio ustaraba kupeana ofa zenye masharti magumu lakini kumbukeni airtel ndio wanatuwezesha kuwepo jamvini
 
acheni wizi nyie watu,mie jana nimeweka 5000 na nikapata msg kuwa nimepewa sijui msg na muda wa maongezi na data bure.ila kila nikicheki naambiwa una msg 0,mb 0 na msg 0.
maana yake nn?
na huo muda c wa kulala?
bora msingeweka kabisa

naona inabidi hata hizo balances unatakiwa uangalie ndani ya mda wa offer(00:00 to 6am ) ndo utapata balance yako.
 
Nakumbuka ofa za makampuni ya simu zitolewazo usiku zilipigwa marufuku. Nashangaa ndo kwanza wanyonyaji wamechachamaa kutoa ofa hizo batili. Hivi tuna serikali au ..........? Binafsi nimechoka na life ya TZ.
 
Tangazo hili inafaa mulipeleke kwenye shule za secondary na primary. Kweli AIRTEL mumechoka

Sikapendi hako katimu kako kwa avatar yako ila wacha nikugongee thanks kwa point yako, .........oh no ......kumbe bado hawajairudisha?
 
dah kweli wananchi mna hasira...afu binadamu wa humu ndani kwann mmekaa kishari shari sana,kuna wengine hapa ingekua face to face ningeshakula makofi tena mengi tu...Hayo ni mawazo yenu ndugu wateja afadhali nyie mnaosema kuliko wanaohama kimya kimya...Mnasema kwa sababu mnaipenda Airtel...ofa nyingi zaid zinakuja mtachoka nyie tu!,Justwait the time is coming

mzee umepitia marketing ama advertising?
nyc advertise!!!
 
Mmmmmnh!Hawa jamaa ama kwa hakika hawafai kabisa na hizi offa zao.Kama kweli ni offa na si adhabu na kuingizana katika matatizo kwanini zitumike usiku wakati watu wanatakiwa kupumzika kwa ajili ya maandalizi mengine ya kulitumikia taifa hili?
Huu ni ubabaishaji na wizi kwani kwa namna moja ama nyingine wanajilipa kupitia simu tunazopiga.Kama kweli wangekuwa na nia ya kutupatia offa basi wangepunguza gharama za upigaji simu na si kuweka offa zisizokuwa na kichwa wal miguu.
 
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.

Offer hiyo inaanza kutumika saa sita usiku hadi kumi na mbili hasubuhi

Tangazo lako lipo Kipropaganda zaidi, Ulipaswa kutueleza in data bases kuwa ukiongeza kiasi cha shilingi kadhaa, unapata hizo msg Kadhaa na MB Kadhaa, otherwise nachukulia kama propaganda za kujivua gamba ambazo kimsingi hazina tija kwa Mteja na zaidi kumchosha!

Halafu nashindwa kuwaelewa hivi Airtel, mna uchungu kweli na Taifa hili au ndo kwa kujinufaisha wenyewe maana kumwambia mtu akae hayo masaa akisubiri ofa ni kufanya ufanisi wa kazi upungue kwa kuwa watanzania badala ya kuchapa kazi watakuwa wanasinzia kufidia usingizi walioupoteza wakati wa kujinufaisha na Ofa!, Kama ni vipi why cant you specify kuwa mna walenga watu fulani ambao kwa kweli kwa usiku wanakuwepo katika majukumu ya kujenga nchi ikiwa ni pamoja na Ma-nurse na Doctors?


Angalieni Bana matangazo mengine mnajishushia hadhi na kudhoofisha heshima yenu kidogo mlionayo!!!
 
Hakuna marefu yasiokuwa na ncha, hata vodacom walitudharau kwa kipindi kirefu, vocha ilikuwa inaanzia sh 5000, na kulikuwa hakuna sekunde, mwendo ulikuwa ni shilingi 300 kwa dakika. sasa basi na dharau hizi wanazotuletea hawa mafedhuli wa airtel, huku wakijuwa wazi kwamba binadamu anatakiwa alale masaa 8, yaani ulale saa nne usiku ili uamke saa 12 asubuhi, yote haya wanayajuwa vizuri, siongei sana maana nitaambulia ban, siwezi kuzidhibiti hasira zangu juu ya wezi hawa, ila mungu yupo yana mwisho haya.
 
Back
Top Bottom