Ofa ya Connection ya Wachina wanaoshusha Mizigo ya jumla Kariakoo

United ya Ferguson

JF-Expert Member
Oct 29, 2021
2,872
5,691
Kwa waliopo Dodoma, Dar na maeneo mengine ya Tanzania na toa OFA ya mwenzi mmoja ya kuwaunganisha na Wachina wanaoshusha na kuuza mzigo wa bei ya jumla kariakoo kwenye bidhaa zifwatazo.

Kampuni za kichina zinazoshusha hands bags mfano hands bags zote za suzens, wahha, botiouqe, LV Kwa anayehitaji kufungua duka la hands bags na hajui wapi atapata mzigo wa bei ya jumla wa hands bags Kwa bei ya kitonga anicheki au pia kama kuna mfanyabiashara anahangaika wapi atapata kununua hands bags za bei ya chini kariakoo anicheki nitamunganisha na wachina wanaoshusha hands bags za jumla kuhusu bei za hands bags zipo hands bags za 4500 na kuendelea.

Kampuni za vifaa vya electronics mfano radio, Tv, na fridge n.k kwaanayehangaika na kujiuliza wapi nitapata mzigo wa bei nafuu kwenye bidhaa za electronic basi anicheki nitamunganisha na kampuni ya solar max, kampuni ya ailyons, kampuni ya hisence, kampuni ya Mr uk, kampuni ya aboader, kampuni ya Good vision, kampuni ya star x kama unahitaji Tv nch 17 hadi 75 Kwa bei za kitonga nicheki nitamunganisha na wachina wanauza bei za jumla kuhusu bei Kuna Tv nch 32 unapata hadi Kwa 195000

Wachina wanaoshusha Nguo za ndani za kike mfano taiti za aina zote mfano bana tumbo, normal Kwa anayehitaji kupata wachina wanaoshusha mzigo wa jumla kweny hizi bidhaa atanicheki niweze kumunganisha na wachina
Wachina wanaoshusha Neti mfano Neti zote za chuma na duara Kwa mtu yoyote anayehitaji kupata connection ya wachina wanaouza Neti Kwa bei za jumla anicheki nina connection na wachina wa luck Neti na baadhi ya kampuni bei za Neti zipo 14000,16000 n.k

Wachina wanaoshusha begi za migongogoni, Kwa wafanyabiashara wanaohitaji Kujua wapi watapata begi za migongoni Kwa bei nafuu ila hawajuiajui wapi watapata anicheki nitamunganisha na wachina wanaouza begi za kampuni ya ponaso, Marcelo n.k

Wanaoshusha jeans na kadeti, Kwa wale wanaohitaji kupata connection ya wanaoshusha jeans na kadeti Kwa bei ya jumla kariakoo wanicheki nitamunganisha na wauzaji wa bei za jumla.

Wanaoshushaha Gauni za Nairobi na KICHINA, Kwa wale wanaohitaji connection za wanaouza na kushusha Gauni za bei ya jumla kutoka china na Nairobi watanitafuta niwaunganishe na wachina wanaouza bei kitonga.

Connection za wachina wa flat shoes Kwa wale wanaohitaji kupata connection za wachina wanao shusha viatu vya jumla pia nitamunganisha na mchina wa excellent na wengineo.

NB: Connection za hawa wachina wote ni za wale wanaouza mzigo Kwa bei ya jumla na ndio hawa wanaowauzia wafanyabiashara wengine Na ofa hii natoa ndani ya mwezi mmoja tu Kwa mda huu nipo Dodoma kwahyo kama upo dodoma na sehemu zingine unahitaji connection nicheki hizo picha ni baadhi ya sample tu

IMG-20230308-WA0539.jpg
IMG-20230311-WA0282.jpg
IMG-20230311-WA0049.jpg
IMG-20230310-WA0049.jpg
IMG-20230308-WA0687.jpg
 
Kwa waliopo Dodoma, Dar na maeneo mengine ya Tanzania na toa OFA ya mwenzi mmoja ya kuwaunganisha na Wachina wanaoshusha na kuuza mzigo wa bei ya jumla kariakoo kwenye bidhaa zifwatazo.

Kampuni za kichina zinazoshusha hands bags mfano hands bags zote za suzens, wahha, botiouqe, LV Kwa anayehitaji kufungua duka la hands bags na hajui wapi atapata mzigo wa bei ya jumla wa hands bags Kwa bei ya kitonga anicheki au pia kama kuna mfanyabiashara anahangaika wapi atapata kununua hands bags za bei ya chini kariakoo anicheki nitamunganisha na wachina wanaoshusha hands bags za jumla kuhusu bei za hands bags zipo hands bags za 4500 na kuendelea.

Kampuni za vifaa vya electronics mfano radio, Tv, na fridge n.k kwaanayehangaika na kujiuliza wapi nitapata mzigo wa bei nafuu kwenye bidhaa za electronic basi anicheki nitamunganisha na kampuni ya solar max, kampuni ya ailyons, kampuni ya hisence, kampuni ya Mr uk, kampuni ya aboader, kampuni ya Good vision, kampuni ya star x kama unahitaji Tv nch 17 hadi 75 Kwa bei za kitonga nicheki nitamunganisha na wachina wanauza bei za jumla kuhusu bei Kuna Tv nch 32 unapata hadi Kwa 195000

Wachina wanaoshusha Nguo za ndani za kike mfano taiti za aina zote mfano bana tumbo, normal Kwa anayehitaji kupata wachina wanaoshusha mzigo wa jumla kweny hizi bidhaa atanicheki niweze kumunganisha na wachina
Wachina wanaoshusha Neti mfano Neti zote za chuma na duara Kwa mtu yoyote anayehitaji kupata connection ya wachina wanaouza Neti Kwa bei za jumla anicheki nina connection na wachina wa luck Neti na baadhi ya kampuni bei za Neti zipo 14000,16000 n.k

Wachina wanaoshusha begi za migongogoni, Kwa wafanyabiashara wanaohitaji Kujua wapi watapata begi za migongoni Kwa bei nafuu ila hawajuiajui wapi watapata anicheki nitamunganisha na wachina wanaouza begi za kampuni ya ponaso, Marcelo n.k

Wanaoshusha jeans na kadeti, Kwa wale wanaohitaji kupata connection ya wanaoshusha jeans na kadeti Kwa bei ya jumla kariakoo wanicheki nitamunganisha na wauzaji wa bei za jumla.

Wanaoshushaha Gauni za Nairobi na KICHINA, Kwa wale wanaohitaji connection za wanaouza na kushusha Gauni za bei ya jumla kutoka china na Nairobi watanitafuta niwaunganishe na wachina wanaouza bei kitonga.

Connection za wachina wa flat shoes Kwa wale wanaohitaji kupata connection za wachina wanao shusha viatu vya jumla pia nitamunganisha na mchina wa excellent na wengineo.

NB: Connection za hawa wachina wote ni za wale wanaouza mzigo Kwa bei ya jumla na ndio hawa wanaowauzia wafanyabiashara wengine Na ofa hii natoa ndani ya mwezi mmoja tu Kwa mda huu nipo Dodoma kwahyo kama upo dodoma na sehemu zingine unahitaji connection nicheki wasap 0693446693 hizo picha ni baadhi ya sample tu

View attachment 2546069View attachment 2546071View attachment 2546073View attachment 2546074View attachment 2546075
Safi sana Mkuu Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom