SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Mkuu wewe ni mgeni na serikali hii ya kidhalimu? Huyu usijeshangaa kusikia kaukwaa u-RPC.
Ni kweli kabisa, sababu kuu iliyompa Mahita u IGP wakati ule ilikuwa kuweza kumzibiti Mrema. Lakini wote tulishuhudia jinsi Mahita alivyogeuka kufadhili maovu kwa kutumia cheo chake.Mkuu wewe ni mgeni na serikali hii ya kidhalimu? Huyu usijeshangaa kusikia kaukwaa u-RPC.