NGUZO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 257
- 46
Ushasahau enzi za Ben aliua Watanzania wangapi Zanzibar?Mbona mnaanzia mbali kufagia tuanzie hapapa nyumbani ndipo tutoke nje
Hapa Kwetu Tanzania ni nani Rais ambaye ni katili kyliko awamu zote?????
Mimi nitaaza na jibu kabisa;
Awamu tuliyo nayo sasa ni katili kupita zote tumeshuhudia mauaji Arusha,Mbeya,Nyamongo na Dodoma juzi ambako hata serikali na vyombo vyake haijasema imeua wanamchi wangapi na iliyojeruhi haijasema Ila jua kuwa ni wengi maradufu.