DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
HUYU SI NDIO YULE JAMAA ALIKUWA MNENEEEEE!!! DUH??
Au mdudu!!!!!
Ndo kaanza na KlyneHUYU jamaa na mie nilimwona live kweli sikuamini. Kawa Potable hata totoz sasa atazinasa kiulainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
jamani jamani embu acheni hayo maneno.....
mie najiamini sana ila si vizuri tu kusema maneno ka yale wakati mtu hana hakika...kapita nini? mbona hujiamini weye???????????????????
wenzio wasema ana wadudu.. ha ha haaahh lolmie najiamini sana ila si vizuri tu kusema maneno ka yale wakati mtu hana hakika...
mie najiamini sana ila si vizuri tu kusema maneno ka yale wakati mtu hana hakika...
wenzio wasema ana wadudu.. ha ha haaahh lol
mi sina mbavu hapa kwa kucheka....
aiseee
wenzio wasema ana wadudu.. ha ha haaahh lol
mi sina mbavu hapa kwa kucheka....
Ivunga weye umeanza nichokoza ae..lol
hamna afro ...tatizo we sijui kwa nn presha ilikupanda baada ya kumuona ..tuambizane mapema dear
sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..
mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..
sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..
mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..