afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
wallah usjali mm nipo tayari tufe wote na hakuna haja ay kupima
mmmhh asante kwa wimbo ..
nway kufa hatufi starehe tutazipata hahahha lol
wallah usjali mm nipo tayari tufe wote na hakuna haja ay kupima
mmmhh asante kwa wimbo ..
nway kufa hatufi starehe tutazipata hahahha lol
asalam aleikum!! we binti nipm basi tuongee
waaleykumu salam warahmat llah...tuongee nini tena?naogopa kugombana na shoga angu?
mmmm this sound good!!!! uila ukimuona mwingine ana hali ya kutatanisha usishtuke kivile hadi watu wakajua kuwa ilikuwa namna gani vipi, unakausha kiainathen badae kimyakimya unafuatilia hali yake:car:
Hahahahaha lol haya ngoja niwaachie weye na bi Nilhan chumba kidogo. ..lol
HUYU SI NDIO YULE JAMAA ALIKUWA MNENEEEEE!!! DUH??
aa mwenzangu simtaki used nataka bikra na mie.... ha ha hhhaa lol.... rudi bibi huyu mi simtaki chumba kina nafasi bado wala usimkimbie... :love::love:
mmmmh kama ndio kakonda kiasi kile NO.... hapa pana utata! tena sio utata ni TATA
mix with yours
Au mdudu!!!!!
Akinenepa kaanza dose!sababu najua hizo ndo za BOngo
mtu aki loose weight kwa afya anaambiwa ana mdudu..
mtu akinenepa sana ana magonjwa ya moyo ...
mie ndo maana nachokaga..