LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema kuwa linaandaa utaratibu wa kupiga mnada nyumba za watu na kampuni kubwa binafsi ambazo wamiliki wake ni wadaiwa sugu wa shirika hilo.
Shirika hilo sasa limetoa wiki mbili kwa wadaiwa hao kulipa malimbikizo ya madeni yao kabla hatua ya kufidia madeni hayo kwa kuuzwa nyumba, haijaanza kutekelezwa.
Meneja Uhusiano wa Tanesco, Badra Masoud alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, utaratibu huo mpya wa kufidia madeni ya Tanesco utaanza baada ya kipindi hicho cha wiki mbili kumalizika.
Nyumba za wadaiwa sugu Tanesco kupigwa mnada
SASA HAWA TANESCO WANA-CONCENTRATE KUJIANDAA KUPIGA MNADA NYUMBA ZA WATU NA KAMPUNI KUBWA BINAFSI. WANA MPANGO GANI NA WADAIWA SUGU SERIKALINI?
Shirika hilo sasa limetoa wiki mbili kwa wadaiwa hao kulipa malimbikizo ya madeni yao kabla hatua ya kufidia madeni hayo kwa kuuzwa nyumba, haijaanza kutekelezwa.
Meneja Uhusiano wa Tanesco, Badra Masoud alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, utaratibu huo mpya wa kufidia madeni ya Tanesco utaanza baada ya kipindi hicho cha wiki mbili kumalizika.
Nyumba za wadaiwa sugu Tanesco kupigwa mnada
SASA HAWA TANESCO WANA-CONCENTRATE KUJIANDAA KUPIGA MNADA NYUMBA ZA WATU NA KAMPUNI KUBWA BINAFSI. WANA MPANGO GANI NA WADAIWA SUGU SERIKALINI?