Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
Kua habari zinazoendelea huko facebook kubomolewa kwa Nyumba ya Sanaa, Je kuna mtu anayefahamu suala hili kiundani atujuze, kama kama inabomolewa kweli ni hatua gani zinazochukuliwa na wanaharakati kuzuia ubomoaji?, huu ni muda wa Wasanii kuungana pamoja na kuonyesha mshikamano katika hili.