The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Hahahaaaaaaaaaa! Bosi pengine umesahau kwamba ukimfundisha mtu kuua, ni ngumu kudhibiti namna ya kuua. Wapo watakaotumia msumeno kuua, wapo watakaotumia kisu, wapo watakaotumia minyororo, wapo watakaoua kwa kufumua utumbo wa mtu n.k. Kifupi dhambi ukisha ianzisha, itaendelea kutokea kwa namna mbalimbali.
mtoto ukimfundisha wizi, huwezi kumdhibiti kiasi na aina ya mali ya kuiba mkuu.
well sikujua kuwa nawa address watoto......
ningejua nisinge post....