kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Kioja cha mwaka kimetoke nchi jirani, Kenya, ambapo Gazeti la Daily nation limenukuliwa likiripoti kuwa, Nyoka aliyekuwa anafugwa na mwanakijiji mmoja huko kaskazini mwa Kenya, alifanya tukio la ajabu.
Nyoka huyo alifanya tukio hilo pale alipomgonga anayemfuga na kumuua kisha nyoka huyo akajificha. Baada ya maziko nyoka huyo alionekana akikaa juu la kaburi la mfuga nyoka huyo. Mchungaji wa eneo hilo, alishangazwa pale alipoona waombolezaji wakikimbilia kaburini baada ya kumuona huyo nyoka akiwa juu ya kaburi na wakamuua papo hapo.
Wanakijiji wakasema, nyoka huyu ndiye Yule Yule aliyekuwa akimfuga. Watu wa kiji hicho wana utamaduni wa kufuga nyoka na kuwatumia kwa njia za kishirikina. Ama kweli kunguru hafugiki.
Nyoka huyo alifanya tukio hilo pale alipomgonga anayemfuga na kumuua kisha nyoka huyo akajificha. Baada ya maziko nyoka huyo alionekana akikaa juu la kaburi la mfuga nyoka huyo. Mchungaji wa eneo hilo, alishangazwa pale alipoona waombolezaji wakikimbilia kaburini baada ya kumuona huyo nyoka akiwa juu ya kaburi na wakamuua papo hapo.
Wanakijiji wakasema, nyoka huyu ndiye Yule Yule aliyekuwa akimfuga. Watu wa kiji hicho wana utamaduni wa kufuga nyoka na kuwatumia kwa njia za kishirikina. Ama kweli kunguru hafugiki.