Ni juzi tuu nimeona kamati ya arusi ikimzawadia bwana na bibi arusi pamoja na mambo mengine kadi a uanachama wa chadema, na sasa nyimbo za chama hiki zinapigwa kwa kasi kwenye sherehe kama sehem ya kuwaburudisha waalikwa na maharusi pia. Zikipigwa, watu hufurahia welikweli...! Nauliza hivi, jambo hili ni sawaa??? Cjawahi kusikia za CCM, ila nashauri kama jambo hili ni sawa basi kale ka wimbo ka mbele kwa mbele nako kapigwe ili kubalance mdundo!