Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Ni ngumu sana kuona kwenye channel za wenzetu wakipiga ngoma zetu za kibongo yaan labda ya msanii mkubwa Sana Africa na sehem zingine duniani.
Sisi channel zetu zinaweka sana utimu mbele na kupiga ngoma za wanaigeria,wamarekani na kudidimiza sanaa ya bongo na ndy maana wasanii wanawaiga wanaigeria ,wasouth na wamarekani kufanya miziki kama Yao sababu ndy inayochezwa Sana kwenye radio na TV za kibongo.
Aah By the way shukrani kwa baadhi ya mashabiki wa kibongo na mashabiki wengi wa nje ya bongo ambao ndy wanatukubali Sana.
Maana huku nyumbani tunachukiwa ,tunatukanwa na kukejeliwa sababu tu ya mafanikio yetu wasanii 🙌
Shukrani pia kwa MTV BASE kuicheza hii ngoma pekee ya kitanzania au niseme ya kiswahili kwenye channel yenu na kuiweka kwenye top 10 ya ngoma Kali afrika nzima, nayo imeshika nafasi ya 7 👏👏👏.
Haters endeleeni kuchukia namwisho wa siku mziki wa bongo upotee kabisa kwenye ramani ya Africa na Dunia kwa ujumla ,maana ukimtoa Big hakuna msanii yeyote anaetambulika kimataifa Hapa Tanzania ,
Watanzania tupende vya kwetu,
Asante Mungu
Asante Diamond Platnumz
Asante mashabiki
Asante haters
Asante Tanzania, East Afrika,Dunia nzima
Asante MTV BASE
Asante JamiiForums.
Sisi channel zetu zinaweka sana utimu mbele na kupiga ngoma za wanaigeria,wamarekani na kudidimiza sanaa ya bongo na ndy maana wasanii wanawaiga wanaigeria ,wasouth na wamarekani kufanya miziki kama Yao sababu ndy inayochezwa Sana kwenye radio na TV za kibongo.
Aah By the way shukrani kwa baadhi ya mashabiki wa kibongo na mashabiki wengi wa nje ya bongo ambao ndy wanatukubali Sana.
Maana huku nyumbani tunachukiwa ,tunatukanwa na kukejeliwa sababu tu ya mafanikio yetu wasanii 🙌
Shukrani pia kwa MTV BASE kuicheza hii ngoma pekee ya kitanzania au niseme ya kiswahili kwenye channel yenu na kuiweka kwenye top 10 ya ngoma Kali afrika nzima, nayo imeshika nafasi ya 7 👏👏👏.
Haters endeleeni kuchukia namwisho wa siku mziki wa bongo upotee kabisa kwenye ramani ya Africa na Dunia kwa ujumla ,maana ukimtoa Big hakuna msanii yeyote anaetambulika kimataifa Hapa Tanzania ,
Watanzania tupende vya kwetu,
Asante Mungu
Asante Diamond Platnumz
Asante mashabiki
Asante haters
Asante Tanzania, East Afrika,Dunia nzima
Asante MTV BASE
Asante JamiiForums.