Kutumia majina ya watu vibaya kwenye Nyimbo za wasanii

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Habari zenu Wakuu,

Mimi sio mfuatiliaji wa Muziki wa nyumbani (Bongo Fleva) ila nimekuwa nikisikia nyimbo za wasanii wetu ambazo maudhui yake ni tabia mbovu za mtu (Character).

Kipindi cha miaka ya nyuma kuna wimbo uliimbwa na Sir Nature wimbo wenyewe unaitwa (Mtoto Idd) kama sijakosea, ukiusikiliza ule wimbo ni dhahiri kuwa wenye majina ya Idd walikuwa wanapitia kipindi kigumu kutokana na watu kuwatania

Wimbo wa Mtoto Idd ni wimbo unaozungumzia Tabia mbaya za mtu binafsi, lakini jambo la kusikitisha ni kwamba msanii alitumia jina hilo na kuzua taharuki kwa wenye majina hayo nchini.

Hivi karibuni kuna wimbo mwengine nimeusikia unaitwa "Sele", ambao kaimba msanii wa BongoFleva pia. Ukiangalia maudhui yake ni kumuongelea mtu vibaya lakini jina la mtu ndio limetumika kama Character ya wimbo.

Swali langu kwa Mamlaka za kusimamia wasanii ni hili,

Ni lini mtakemea wasanii kutumia majina ya watu kama kiwakilishi cha Tabia mbovu kwenye nyimbo zao, au ndio mnasubiri mpaka jina la kiongozi aliepo madarakani liimbwe ndo mchukue hatua?



Mjanja M1
 
Mbona ni muda mrefu tu majina yanatumika kwenye muziki aisee, fatilia muziki wa zamani (zilipendwa) utakuna na majina kibao ya watu na wanawazungumzia tena kwa tabia mbaya.



Lengo sio kumharibia mtu la hasha, lengo ni kuonya jamii kuhusu tabia hizo. Kama mtu mwenye jina hilo hana tabia hiyo basi ajue wimbo husika hauhusiki na yeye.
 
Mbona ni muda mrefu tu majina yanatumika kwenye muziki aisee, fatilia muziki wa zamani (zilipendwa) utakuna na majina kibao ya watu na wanawazungumzia tena kwa tabia mbaya.



Lengo sio kumharibia mtu la hasha, lengo ni kuonya jamii kuhusu tabia hizo. Kama mtu mwenye jina hilo hana tabia hiyo basi ajue wimbo husika hauhusiki na yeye.
Siku msanii akitunga wimbo na jina akatumia la Sa100, unadhani mamlaka zitakaa kimya?
 
Habari zenu Wakuu,

Mimi sio mfuatiliaji wa Muziki wa nyumbani (Bongo Fleva) ila nimekuwa nikisikia nyimbo za wasanii wetu ambazo maudhui yake ni tabia mbovu za mtu (Character).

Kipindi cha miaka ya nyuma kuna wimbo uliimbwa na Sir Nature wimbo wenyewe unaitwa (Mtoto Idd) kama sijakosea, ukiusikiliza ule wimbo ni dhahiri kuwa wenye majina ya Idd walikuwa wanapitia kipindi kigumu kutokana na watu kuwatania

Wimbo wa Mtoto Idd ni wimbo unaozungumzia Tabia mbaya za mtu binafsi, lakini jambo la kusikitisha ni kwamba msanii alitumia jina hilo na kuzua taharuki kwa wenye majina hayo nchini.

Hivi karibuni kuna wimbo mwengine nimeusikia unaitwa "Sele", ambao kaimba msanii wa BongoFleva pia. Ukiangalia maudhui yake ni kumuongelea mtu vibaya lakini jina la mtu ndio limetumika kama Character ya wimbo.

Swali langu kwa Mamlaka za kusimamia wasanii ni hili,

Ni lini mtakemea wasanii kutumia majina ya watu kama kiwakilishi cha Tabia mbovu kwenye nyimbo zao, au ndio mnasubiri mpaka jina la kiongozi aliepo madarakani liimbwe ndo mchukue hatua?



Mjanja M1
Uzi wa kidwanzi ulioandikwa na mjanjammoja.
 
Habari zenu Wakuu,

Mimi sio mfuatiliaji wa Muziki wa nyumbani (Bongo Fleva) ila nimekuwa nikisikia nyimbo za wasanii wetu ambazo maudhui yake ni tabia mbovu za mtu (Character).

Kipindi cha miaka ya nyuma kuna wimbo uliimbwa na Sir Nature wimbo wenyewe unaitwa (Mtoto Idd) kama sijakosea, ukiusikiliza ule wimbo ni dhahiri kuwa wenye majina ya Idd walikuwa wanapitia kipindi kigumu kutokana na watu kuwatania

Wimbo wa Mtoto Idd ni wimbo unaozungumzia Tabia mbaya za mtu binafsi, lakini jambo la kusikitisha ni kwamba msanii alitumia jina hilo na kuzua taharuki kwa wenye majina hayo nchini.

Hivi karibuni kuna wimbo mwengine nimeusikia unaitwa "Sele", ambao kaimba msanii wa BongoFleva pia. Ukiangalia maudhui yake ni kumuongelea mtu vibaya lakini jina la mtu ndio limetumika kama Character ya wimbo.

Swali langu kwa Mamlaka za kusimamia wasanii ni hili,

Ni lini mtakemea wasanii kutumia majina ya watu kama kiwakilishi cha Tabia mbovu kwenye nyimbo zao, au ndio mnasubiri mpaka jina la kiongozi aliepo madarakani liimbwe ndo mchukue hatua?



Mjanja M1
Pole Selemani
 
Ndo maana tulikua tunafeli kiswahili darasan kulko English
Watu weng atujui kiswahili kwaiyo ni ttzo tupu
Yan ata ujui fasihi misemo nahau afu unajiita great thinker
 
Habari zenu Wakuu,

Mimi sio mfuatiliaji wa Muziki wa nyumbani (Bongo Fleva) ila nimekuwa nikisikia nyimbo za wasanii wetu ambazo maudhui yake ni tabia mbovu za mtu (Character).

Kipindi cha miaka ya nyuma kuna wimbo uliimbwa na Sir Nature wimbo wenyewe unaitwa (Mtoto Idd) kama sijakosea, ukiusikiliza ule wimbo ni dhahiri kuwa wenye majina ya Idd walikuwa wanapitia kipindi kigumu kutokana na watu kuwatania

Wimbo wa Mtoto Idd ni wimbo unaozungumzia Tabia mbaya za mtu binafsi, lakini jambo la kusikitisha ni kwamba msanii alitumia jina hilo na kuzua taharuki kwa wenye majina hayo nchini.

Hivi karibuni kuna wimbo mwengine nimeusikia unaitwa "Sele", ambao kaimba msanii wa BongoFleva pia. Ukiangalia maudhui yake ni kumuongelea mtu vibaya lakini jina la mtu ndio limetumika kama Character ya wimbo.

Swali langu kwa Mamlaka za kusimamia wasanii ni hili,

Ni lini mtakemea wasanii kutumia majina ya watu kama kiwakilishi cha Tabia mbovu kwenye nyimbo zao, au ndio mnasubiri mpaka jina la kiongozi aliepo madarakani liimbwe ndo mchukue hatua?



Mjanja M1
Unafahamu nyimbo za zamani i think ilikuwa ya miaka ya 80 ile..
Masudi..

"Masudi amekuwa Jambazi ukipishana naye mjini umpishie mbali"
 
Ndo maana tulikua tunafeli kiswahili darasan kulko English
Watu weng atujui kiswahili kwaiyo ni ttzo tupu
Yan ata ujui fasihi misemo nahau afu unajiita great thinker
Hivi kabla ya kujibu huwa mnaelewa kilichoulizwa wakuu?

Mbona watanzania tunakuwa wagumu kusoma kitu na kuelewa kabla ya kujibu.
 
Unafahamu nyimbo za zamani i think ilikuwa ya miaka ya 80 ile..
Masudi..

"Masudi amekuwa Jambazi ukipishana naye mjini umpishie mbali"
Wewe unaona ni sahihi jina la mtu kutumika kwenye nyimbo zinazoakisi tabia mbovu kwenye jamii?
 
Princess Diana alitoa request kwa Michael Jackson kufanya performance ya wimbo wa Dirty Diana ambao MJ aliuondoa kwenye list ya nyimbo za kufanyia performance kisa Princess Diana alikuwepo.
Kumbe Princess Diana alikuwa anaupenda wimbo huo. Hao ndio watu wanajua fasihi
 
Back
Top Bottom