Nyerere's best hotuba.

Hapana,

Kwa mtume wa dini isiyo na imani.Reason.

For all you know I might have been referring to Mtume Sam Harris au Christopher Hitchens.

I like Dawkins better

"The Ayatollah of atheism"
 
Kwa hakika sitaona sawa.

Ila hizi sababu wanazotoa serikali kukataa kutoa takwimu, sijazielewa kwa sababu hiyo ya kuwa watu wachache watazitumia vibaya hawajawahi kuisema hadharani

Serikali haiwezi kusema hilo hadharani, kwa sababu kusema hilo itakuwa ni "jumping the gun" na kuhukumu kabla kosa halijatendeka.

Sasa kwa kuepuka kuviolate kanuni ya "innocent until proven guilty", ndo maana wanajishaua kwa blanketi la "serikali haijengi misikiti...".

Well halooo, madhehebu ya kidini yanajenga shule na mahospitali ambazo pia zinajengwa na serikali, kwa hiyo utaona habari ya idadi ya watu inaingiliana na public policy serikali ikipenda au isipende.
 
Ninaloona ni kuwa hata tukiulizwa kuhusu dini kwenye sensa hatuwezi kupata takwimu ya uhakika kuweza kuwa credible kwenye tafiti na policy making

Watu wanaji associate na dini Fulani kwa sababu wamezaliwa humo tu lakini sio kwamba maisha yao ya kila siku yanafuata kanuni za dini zao.

Kwa maana hiyo, takwimu tutakazopata zinaweza kutufanya kuandaa sera ambazo zinapingana na uhalisia
 
Ninaloona ni kuwa hata tukiulizwa kuhusu dini kwenye sensa hatuwezi kupata takwimu ya uhakika kuweza kuwa credible kwenye tafiti na policy making

Watu wanaji associate na dini Fulani kwa sababu wamezaliwa humo tu lakini sio kwamba maisha yao ya kila siku yanafuata kanuni za dini zao.

Kwa maana hiyo, takwimu tutakazopata zinaweza kutufanya kuandaa sera ambazo zinapingana na uhalisia

There you go! You get it.

Kama wanataka takwimu zenye kukaribiana na uhalisia washirikiane na asasi za kidini lakini siyo kwenye sensa.
 
Sasa kwa mfano kwenye sensa, hilo swali la dini litaulize madhehebu ya watu pia?
 
In partnership, serikali inaweza kufanya kazi na asasi mbalimbali za kidini na kupata takwimu za uhakika zaidi.

Shughuli za maendeleo ni za kushirikiana. Lakini si kila takwimu zinazohitajika basi zipatikane kupitia sensa.

Mimi naamini zaidi kuwa serikali au mtu mwingine yeyote anaweza akapata takwimu za uhakika zaidi kupitia hizo asasi za kidini na nyumba za ibada kuliko watu binafsi ambao wewe mwenye umetoa mfano wa mijitu kama Saidi ambalo linakula hata kitimoto na Msikitini halijakanyaga miaka nenda rudi kujifanya na lenyewe liislamu wakati siyo hata kidogo.

Sasa jitu kama hilo info zake zitakuwa credible kweli?

Takwimu za dini mbalimbali kutoka taasisi gani za kidini? Hawa hawa uamsho wanaotaka kutumia habari za kidini kwa a religious agenda kama inavyoaminika na watu wa serikali?

Kwa hiyo serikali iache kuhesabu watu kwa dini kwa sababu inaogopa mvurugano wa kidini, halafu iende kuwauliza uamsho kwamba wako wangapi nchini? Uamsho wakiiambia serikali kwamba tuko 60%, serikali itafanya nini?

I would think kwamba precisely kwa sababu uamsho ni watu wa hatari, tusiwaachie wao watuambie wako wangapi, sie ndo tuwahesabu wao.

Pamoja na matapeli wengine wooote wanaoanzisha vikanisa kama uyoga kwa kutaka misaada ya nje, ambao chances are wata inflate figures zao. Tuwahesabu kwa umakini wa juu ili tusipewe figures zitakazokuja kustaajabisha dunia kama population ya Nigeria, unaambiwa "the population is somewehere between 130 and 160 million" a whopping 30 million lay in the margin of error.

Mtu kama Said mwacheni ajiandikishe kama muislam kwa sababu after all tunajua dini kikweli ni suala la mtu na mungu wake hii ni dini kwa minajili ya demographics.

Na uamsho wakijichuza kwamba wana support ya hizo figures zinazoonyesha "waislam" wa kwenye sensa ndo watakapojua kilichomnyonyoa Mrema mbawa alipokuwa anashangiliwa na watu wengi, kumbe wapiga kura hana.
 
Sasa kwa mfano kwenye sensa, hilo swali la dini litaulize madhehebu ya watu pia?

Hilo swala la dini hata si la kidini, ni la ki demographics kwa hiyo kuingia kwenye madhehebu ni uzushi kama vile swala la sex kuanza kuingia kwenye sexual positions anazopenda mtu litakavyokuwa la kizushi.
 
Ninaloona ni kuwa hata tukiulizwa kuhusu dini kwenye sensa hatuwezi kupata takwimu ya uhakika kuweza kuwa credible kwenye tafiti na policy making

Watu wanaji associate na dini Fulani kwa sababu wamezaliwa humo tu lakini sio kwamba maisha yao ya kila siku yanafuata kanuni za dini zao.

Kwa maana hiyo, takwimu tutakazopata zinaweza kutufanya kuandaa sera ambazo zinapingana na uhalisia

Ukitafuta uhakika namna hii utafuta sensa na kukataa umuhimu wa kuwa na serikali kabisaaa.

Hakuna uhakika, tunatafuta njia ya ku converge kwenye uhakika, tuna calibrate mambo kuelekea kwenye uhakika.

Uhakika is a journey, not a destination. Ukitaka kuifanya destination uijue kabla ya kuanza safari utakuwa hutoki kwako.
 
Wana JF, naomba niwaulize swali. Hivi hatuwezi kupata data kuwa tuna waislamu wangapi, walutheri na wakatoliki wangapi bila kupitia sensa? Mbona hapa Marekani kuna takwim za karibu kila kitu, kila kundi, bila kufanyiwa sensa? Can't we do that? Nina hakika Kanisa katoliki lina takwim za waumini wake nchi nzima. Je ndugu zetu hawana asasi za kidini zinazoweza kubainisha idadi ya waislamu Tanzania bila kutegemea serikali?
 
Wana JF, naomba niwaulize swali. Hivi hatuwezi kupata data kuwa tuna waislamu wangapi, walutheri na wakatoliki wangapi bila kupitia sensa? Mbona hapa Marekani kuna takwim za karibu kila kitu, kila kundi, bila kufanyiwa sensa? Can't we do that? Nina hakika Kanisa katoliki lina takwim za waumini wake nchi nzima. Je ndugu zetu hawana asasi za kidini zinazoweza kubainisha idadi ya waislamu Tanzania bila kutegemea serikali?

Tunaweza.

Ila zitakosa fidelity ya data za sensa kwa sababu tushaona vikundi vya kidini vyenyewe ndivyo hivi vinashukiwa kutaka data za waumini kwa sababu za kisiasa.

Sasa ukivipa kazi ya kukusanya data vitashindana kila kimoja kitake kuonyesha ndicho kikubwa zaidi, hatimaye sensa ya serikali itaonyesha Wananchi wako milioni hamsini, lakini waumini wa dini wapo milioni mia.
 
Ukitafuta uhakika namna hii utafuta sensa na kukataa umuhimu wa kuwa na serikali kabisaaa.

Hakuna uhakika, tunatafuta njia ya ku converge kwenye uhakika, tuna calibrate mambo kuelekea kwenye uhakika.

Uhakika is a journey, not a destination. Ukitaka kuifanya destination uijue kabla ya kuanza safari utakuwa hutoki kwako.

Hapana, kuna masuala na masuali ambayo margin of error ni ndogo kama idadi ya wanawake vs wanaume, kwa sababu ama ni mwanamme au ni mwanamke na huntha wachache.

Hili la dini, linatoa mwanya wa kuwa na error kubwa sana. Watu wanaojaza fomu kwa niaba ya wengine wanaweza wasijue dini ya wanaowajazia, hivyo kuleta dosari kwenye takwimu

Pia kuna wenyewe ambao hawafati dini ila kwa vile watataka kuzikwa kwa dini fulani watajaza dini hizo wakati kiuualisia hazimo kwenye maisha yao ya kila siku

Dosari kwenye suala hili ni kubwa mno
 
Takwimu za dini mbalimbali kutoka taasisi gani za kidini? Hawa hawa uamsho wanaotaka kutumia habari za kidini kwa a religious agenda kama inavyoaminika na watu wa serikali?

BAKWATA haipo siku hizi? Evangelical Lutheran Church of Tanzania haipo?

Kwa hiyo serikali iache kuhesabu watu kwa dini kwa sababu inaogopa mvurugano wa kidini, halafu iende kuwauliza uamsho kwamba wako wangapi nchini? Uamsho wakiiambia serikali kwamba tuko 60%, serikali itafanya nini?

Kwani Waislam wote ni uamsho? Misikiti yote iliyopo Tanzania imejaa wana uamsho? Binafsi sioni kabisa umuhimu hata wa kuuliza dini kwa sababu kama sisi wote ni Watanzania nadhani demographic information zinazopatikana kutoka kwenye sensa zinatosha kabisa katika kuunda public policy inayokidhi mahitaji muhimu ya watu.

I would think kwamba precisely kwa sababu uamsho ni watu wa hatari, tusiwaachie wao watuambie wako wangapi, sie ndo tuwahesabu wao.

Sote ni Watanzania bila kujali dini wala rangi wala mwelekeo wa kijinsia na kadhalika. Dina za watu hazihusu wengine. Kwa hiyo tusiruhusu yeyote yule atuambie yeye ana waumini wangapi. Haituhusu sisi.

Pamoja na matapeli wengine wooote wanaoanzisha vikanisa kama uyoga kwa kutaka misaada ya nje, ambao chances are wata inflate figures zao. Tuwahesabu kwa umakini wa juu ili tusipewe figures zitakazokuja kustaajabisha dunia kama population ya Nigeria, unaambiwa "the population is somewehere between 130 and 160 million" a whopping 30 million lay in the margin of error.

Unaona sasa...ndiyo maana tusihesabu dini. Kama kanisa Full Gospel Bible Fellowship lina congregation ya watu 25,000...good for them. The bottomline is they are Tanzanians too.

Mtu kama Said mwacheni ajiandikishe kama muislam kwa sababu after all tunajua dini kikweli ni suala la mtu na mungu wake hii ni dini kwa minajili ya demographics.

Kwa nini tumuache Saidi adanganye ili kupika takwimu?

Na uamsho wakijichuza kwamba wana support ya hizo figures zinazoonyesha "waislam" wa kwenye sensa ndo watakapojua kilichomnyonyoa Mrema mbawa alipokuwa anashangiliwa na watu wengi, kumbe wapiga kura hana.

Ya nini kubishania tarakimu za idadi? Ni kwamba hakuna kuhesabu dini. Wewe na dini yako kivyako na mungu wako. Kwisha habari yake.
 
Wana JF, naomba niwaulize swali. Hivi hatuwezi kupata data kuwa tuna waislamu wangapi, walutheri na wakatoliki wangapi bila kupitia sensa? Mbona hapa Marekani kuna takwim za karibu kila kitu, kila kundi, bila kufanyiwa sensa? Can't we do that? Nina hakika Kanisa katoliki lina takwim za waumini wake nchi nzima. Je ndugu zetu hawana asasi za kidini zinazoweza kubainisha idadi ya waislamu Tanzania bila kutegemea serikali?

Sasa si ndo hapo ndugu yangu...yaani eti hadi serikali kuu isiyo na dini iulize watu wewe dini gani? Waende zao huko.
 
Umesahau OIC na ajira serekalini......

Haya malalamiko Boss ni bogus. Hayana foundation yoyote ile katika facts.

Kuna watu wana ajenda zao. Stuka braza kaka....

Some people want to advance their agenda and who knows what's next....it could be a demand for Sharia law in some places.
 
Wana JF, naomba niwaulize swali. Hivi hatuwezi kupata data kuwa tuna waislamu wangapi, walutheri na wakatoliki wangapi bila kupitia sensa? Mbona hapa Marekani kuna takwim za karibu kila kitu, kila kundi, bila kufanyiwa sensa? Can't we do that? Nina hakika Kanisa katoliki lina takwim za waumini wake nchi nzima. Je ndugu zetu hawana asasi za kidini zinazoweza kubainisha idadi ya waislamu Tanzania bila kutegemea serikali?

Hivi ni vitu ambavyo serikali haitaki ivijuulie kutoka kwa raia wenyewe

Kama serikali ina haja na takwimu hizo basi itumie vyanzo vyake, sio raia ambao wengine wana sababu za kuongeza idadi yao
 
Marekani kuna mahospitali na mashule yanayomilikiwa na asasi za kidini.

Mbona wao hawaulizi mambo ya wewe dini gani kwenye fomu zao za sensa?
 
Serikali haiwezi kusema hilo hadharani, kwa sababu kusema hilo itakuwa ni "jumping the gun" na kuhukumu kabla kosa halijatendeka.

Sasa kwa kuepuka kuviolate kanuni ya "innocent until proven guilty", ndo maana wanajishaua kwa blanketi la "serikali haijengi misikiti...".

Well halooo, madhehebu ya kidini yanajenga shule na mahospitali ambazo pia zinajengwa na serikali, kwa hiyo utaona habari ya idadi ya watu inaingiliana na public policy serikali ikipenda au isipende.

Sasa kumbe nawe una assume tu sababu ya serikali kukataa suala la dini kwenye sensa?

Kwa serikali hii failure, sababu inaweza kuwa yoyote tu.

Bila ya shaka suala la kuwa serikali inaogopa takwimu kutumiwa kisiasa is most likely, lakini si mara zote jambo lenye probability kubwa ya kutokea hutokea. Wakati mwengine hutokea lile lisilotarajiwa
 
BAKWATA haipo siku hizi? Evangelical Lutheran Church of Tanzania haipo?

Zipo, lakini kwanza zenyewe haziko above suspicion. BAKWATA kila siku ina migogoro na makundi mengine ya Kiislamu, hao Walutheri kila siku wana ugomvi huko dayosisi za kaskazini, who is to say BAKWATA hawata inflate figures ili wawpiku rivals wao? Au dayosisi hazitashindana ku inflate figures? Not that serikali ikihesabu ndo utapata perfect figures, but at least ukweli kwamba serikali inahesabu utapunguza figure inflation.

Pili, kuna madhehebu ambayo hayapo katika hizo habari za BAKWATA na wa Lutheri. Kuna kina Kakobe huko, uamsho etc ambao wanaweza ku inflate figures. Au kufanya watu wafanyiwe double counting.

Serikali inategemea figures za madhehebu? Sawa, mtu anakwenda kwenye msikiti wa BAKWATA na msikiti wa uamsho, na kote anahesabiwa.

Mwingine anasali kwa Koakobe na Lutheran. Kote anahesabiwa. Mwisho wa siku sensa inaonyesha wananchi wako milioni hamsini, lakini waumini wako milioni mia.

Unaona ugumu hapo?

Kwani Waislam wote ni uamsho? Misikiti yote iliyopo Tanzania imejaa wana uamsho? Binafsi sioni kabisa umuhimu hata wa kuuliza dini kwa sababu kama sisi wote ni Watanzania nadhani demographic information zinazopatikana kutoka kwenye sensa zinatosha kabisa katika kuunda public policy inayokidhi mahitaji muhimu ya watu.

Serikali ikibali kuhesabu watu kwa dini precisely kwa sababu waislamu wote si uamsho. haina cha kuhofia. Ikianza kukataa kuhesabu watu kwa dini inaipa uamsho msemo. Hata wale waislam waliokuwa hawaamini conspiracy theory ya uamsho wanaanza kusema "mbona serikali inaogopa, au ni kweli inaficha mambo kwa sababu inaonea waislamu nini?". Serikali itapoteza support hata ya wale waislam waliokuwa hawana sympathy na uamsho.

Serikali haina cha kupoteza kwa kuweka swali la dini katika sensa.In fact habari hizi zitasaidia katika research zinazohusu mambo ya public policy.

Kwa kutokujumuisha swali la dini serikali sio tu itajinyima yenyewe data credible zinazoweza kuwa na relevance katika public policy, itawapa hawa nutcases wa uamsho msemo, watasema "si mnaona, serikali inaogopa kuweka swali la dini katika sensa kwa sababu inaogopa nguvu ya ummat, takdeeer!!!!!"


Sote ni Watanzania bila kujali dini wala rangi wala mwelekeo wa kijinsia na kadhalika. Dina za watu hazihusu wengine. Kwa hiyo tusiruhusu yeyote yule atuambie yeye ana waumini wangapi. Haituhusu sisi.

Dini zitatuhusu pale tutakapokuja kugundua kwamba wakristo na waislam wahafidhian wanakataza kuvaa condom na hili linarudisha nyuma vita dhidi ya Ukimwi nchi nzima.

Hapo utaona public policy (vita dhidi ya UKIMWI) itataka kujua wapi wamekusanyika sana wakristo na waislam na wahafidhina wao wako wapi ili kujua kuwaingilia vizuri ili kupata ushirikiano katika vita dhidi ya UKIMWI.

Hii habari ya kwamba "dini ya mtu haituhusu" ni uongo, kwa sababu no person is an island, na as long as dini ina influence maisha ya mtu mmoja, ina influence maisha yetu wote.



Unaona sasa...ndiyo maana tusihesabu dini. Kama kanisa Full Gospel Bible Fellowship lina congregation ya watu 25,000...good for them. The bottomline is they are Tanzanians too.

Swali linakuja, utajuaje kama Kakobe haja inflate figures ili kupata hela za donors tu? Angalau ukihesabu mwenyewe katika sensa utajua kwamba una minimize figure inflation na double counting.



Kwa nini tumuache Saidi adanganye ili kupika takwimu?

Saidi hadanganyi kwa sababu dini inayoulizwa hapa inaulizwa katika maudhui ya demographics, si katika maudhui ya faith.

Hiki ndicho kitu watu wengi -pamoja na Nyerere- ama wanashindwa kukielewa ama wanakitumia ku confuse watu.

Sensa ikiuliza dini haiulizi kwa minajili ya faith, kwa sababu ili kumjua mkristo kwa minajili ya imani inabidi umuulize kama anaamini "Symbolum Apostolorum" sasa Wakristo wangapi wanajua hata kuisema yote, let alone kuitekeleza?

Hili swali ni la ki demographics zaidi.It's not actually about whether you are truly a Christian or Muslim, it is about if you get ill are you more likely to go to the missionary hospital because you know the doctors from church than the Agha Khan down the road?



Ya nini kubishania tarakimu za idadi? Ni kwamba hakuna kuhesabu dini. Wewe na dini yako kivyako na mungu wako. Kwisha habari yake.

You will be shortchanging yourself by not using this once a decade census exercise.

Ni kama una mashine ya kuvuna inayoweza kuvuna machungwa na matufaa kwa mpigo.

Wewe unavuna machungwa tu, unaacha matufaa kwa kuogopa kivuli chako mwenyewe. Matokeo yake unapohitaji idadi ya matufaa inakubidi ufanye kazi upya piecemeal.

Trust me katika public policy formulation serikali inevitably inajikuta inahitaji habari za dini, ila haiwezi kusema tu kwa sababu imezaliwa katika mizizi ya ukomunisti ambako dini pekee ni serikali.

Na hili jambo sisikii likizungumzwa kama inavyotakiwa.

Serikali licha ya kuogopa uamsho, inaogopa hata makanisa kwa sababu inajua the power of numbers na kwamba dini zikianza kujiangalia kama constituencies ku lobby - not necessarily in a negative way- for example good governance, serikali iatatafuta pa kutokea.

Serikali imesha control vyama vya siasa to an extent, trade unions etc, inaogopa dini.

Huu ndio ukweli wenyewe.
 
Haya malalamiko Boss ni bogus. Hayana foundation yoyote ile katika facts.

Kuna watu wana ajenda zao. Stuka braza kaka....

Some people want to advance their agenda and who knows what's next....it could be a demand for Sharia law in some places.

Dawa ya mtu mwenye malalamiko yasiyo msingi ni ndogo tu. Mpe hizo data anazotaka halafu tuone atazifanyia nini.

Ukimnyima unampa msemo, anaonekana anachosema kina ukweli ndio maana unamnyima.

Isitoshe, sio kila anayetaka data za dini ni uamsho.

Kuna watu wanataka kufanya research za ku impact public policy. Serikali ikikataa kuhesabu watu kwa dini inawanyima wasomi hawa data na public policy inadhoofika kwa kukosa input ya wasomi hawa iliyokuwa based on credible census data.
 
Back
Top Bottom