mpiganaji86
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 110
- 13
Jamaa ameongea ukweli mchungu nampa big up sana mwalimu alikuwa dikteta kwan mrema mwaka 95 alishinda na nyerere ndio alishinikiza anyanganywe ushindi huo kitu ambacho mpka leo ccm wanaendelea nacho pia alikuwa tuu mbaguzi mfano angalia jeshini enz zke aliwajaza tuu wakurya wenzake alafu wanamuenz km vile mtakatifu ??!!! nyerere ni nyang'au na dikteta kama gadafi