Lung'wando
Member
- Dec 11, 2011
- 43
- 4
Kipeng'e umekurupuka au? Halafu hapo unatutaarifu au unatuuliza? Hulazimishwi kufuata Falsafa ya Dk. Slaa.
Huyu mseja anateswa na vugu vugu la nafasi ya mgombea urais linalofukuta chini chini huko chadema! kuna watu wanataka kumpima ubavu akiwemo mbowe nasikia ndio maana sasa katoka ofisini yuko mbeya kujipanga..
Nafikiri sasa Padre ameanza kuchanganyikiwa. Ni vizuri Pengo amrudishe kundini.
Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd:
Nafikiri sasa Padre ameanza kuchanganyikiwa. Ni vizuri Pengo amrudishe kundini.
Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd:
Aliyechanganyikiwa ni wewe na maalimu seif wako. Ndo maana mmeamua kujiozesha kwa ccm
Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd:
Dr Slaa ameanza kutapatapa eti ana nyaraka muhimu za serikali na za ccm
hii ni mbinu mpya ya slaa baada ya kukosa publicity kwa muda mrefu sasa anatafuta
pa kutokea
Kama ana nyaraka hizo kwanini hasizitoe?
Mbona nyarak zake zote hazina nguvu mahakamani?
:A S embarassed:
Je kutapatapa huku ndo mwisho wake?:nerd:
Siasa za majitaka zimepitwa na wakati yeye bado kang'ang'ania. Inaonesha hana washauri na huwa hamsikilizi kabisa naibu wake, ambae ana upeo na anahoja za nguvu.