Nusu ya Madaktari wafeli mtihani. Serikali acheni kudahili vilaza wa "D" kwenye taaluma inayogusa uhai wetu

uchunguzwe.. duniani kote kwenye daktari kuna ngazi,
Baadhi ya vyuo nasikia wanafunzi wakifeli, Mwalimu anaundiwa tume! Na Hata wakikuta Mwalimu alitimiza wajibu wake, ataambiwa afanyekusuguasugua hizo maksi zing'ae ili Chuo kiwe na uhakika wa kupata wanafunzi wengi zaidi
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake kwa kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana. Afya sio sehemu ya kupatia ajira sasa hivi imekuwa kama ualimu zamani kwamba umekosa hadi Afya? Kisa kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira.

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu. Serikali chukueni hatua sasa hamjachelewa.

Kwa ninayoyashuhudia Mahospitalini na hata vyuoni kwao, taarifa ya nusu ya wanafunzi wa Udaktari kufeli mitihani yao ya usajili sijashangaa

Form 4 na D tatu anasomaje MD?
Check fact zako kwanza
 
Kwa Mara ya kwanza ChoiceVariable ameandika kitu chenye akili. Kumbe CCM bado Kuna watu wanaojielewa.
1. Siku hizi kila kwenye taarifa ya habari ya itv. Matangazo Ni pampas, kubeti, pombe na vyuo vya afya vinavyochukua watu wenye ufaulu wa D 3. Waziri wa afya yupo, katibu mkuu yupo na professional bodies za madaktari zipo tatizo linafumbiwa macho.
2. Siku hizi kumeibuka maabara za mtaani eti zinatoa ushauri, kupima damu, mkojo na mavi. Kwakua wananchi wengi hawana uwezo, huku ndio wanakwenda kupewa ushauri potofu na kuishia kununua dawa ambazo sio sahihi.
 
Kwa Mara ya kwanza ChoiceVariable ameandika kitu chenye akili. Kumbe CCM bado Kuna watu wanaojielewa.
1. Siku hizi kila kwenye taarifa ya habari ya itv. Matangazo Ni pampas, kubeti, pombe na vyuo vya afya vinavyochukua watu wenye ufaulu wa D 3. Waziri wa afya yupo, katibu mkuu yupo na professional bodies za madaktari zipo tatizo linafumbiwa macho.
2. Siku hizi kumeibuka maabara za mtaani eti zinatoa ushauri, kupima damu, mkojo na mavi. Kwakua wananchi wengi hawana uwezo, huku ndio wanakwenda kupewa ushauri potofu na kuishia kununua dawa ambazo sio sahihi.
Wewe ndio huna akili,Mimi Huwa naandika vitu kibao vyenye akili
 
Serikal wao wanakosea sana fikilia mtu kapat D nne olevel, mwingine kapata one Au two kaend advance kasoma cba cbg na cbn form six kapat one ya 7 au 6 lakin hapat sifa ya kwend MD et kisa hana physics yule ambae kapita kwa D nne kaend CO kamaliza kaend md kwa kuunga unga si unajua vyuo vyet huku mtaani kwa kubeban gpa unazani akiend md atatoboa na wakat watu wenye sifa ya kusoma wamewakata ningeshaur ambao wanatakiwa wasome huku diploma ni wale weny ufaul

Olevel, na ufaul wa one na two only na advance walioshindwa kupata ufaulu wa vyuo na wanamatamanio ya kusoma afya warud wasome diproma ya afya na ambao wanafaul kwa ufaul wa juuu kama cbg, cba, na cbn wakipata one ya 7 waruhusiwe kusoma MD directly moja kwa moja waache mambo ya kizamani kabisa et physics tunapoteza watu weny uwezo mkubwa leo cba anapat one ya 5 advance kuna pcb kapat one ya10 kachaguliwa nani bora kati ya hao unakuta chemistry ana A bioz B geo Au nutrition ana B hana sifa……. Alafu kuna pcb ana Physics D chemia c na biozi C nani atakuwa bora ebu waone maisha ya nchi za wenzetu
 
Hivi huo mtihani mmoja unapima nini hasa ikiwa hao madaktari wameshafuzu degree zao na kumaliza internship? au ni fitna za kibinadamu na kuwekeana kauzibe.
Huo mtihani no lazima, ni mtihani wa leseni iliuweze sasa kuwa full doctor, hata ukifungua hospital yako sawa, lazima ufaulu huo mtihani laa sivyo utakua huna leseni ya kuendesha shughuli za afya lakini unataaluma kichwani
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake kwa kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana. Afya sio sehemu ya kupatia ajira sasa hivi imekuwa kama ualimu zamani kwamba umekosa hadi Afya? Kisa kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira.

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu. Serikali chukueni hatua sasa hamjachelewa.

Kwa ninayoyashuhudia Mahospitalini na hata vyuoni kwao, taarifa ya nusu ya wanafunzi wa Udaktari kufeli mitihani yao ya usajili sijashangaa
Hujuii chochote...KUPATA DIVISION ONE YA PCB,

NI KITU TOFAUT NA KWENDA KUSOMEA KOZI YA UDAKTAR WA BINADAMU NI KITU TOFAUTI.....

WENYE UFAHAMU TUNAELEWA.....

nikutakie mapumziko mema ya jumamosi ..
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake kwa kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana. Afya sio sehemu ya kupatia ajira sasa hivi imekuwa kama ualimu zamani kwamba umekosa hadi Afya? Kisa kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira.

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu. Serikali chukueni hatua sasa hamjachelewa.

Kwa ninayoyashuhudia Mahospitalini na hata vyuoni kwao, taarifa ya nusu ya wanafunzi wa Udaktari kufeli mitihani yao ya usajili sijashangaa
Nchi hii imejaa wambea kuanzia maofisini mpaja mtaani, kuanzia wenye elim mpaka ambao hawakusoma hata darasa moja,

Acheni walio kwenye fani husika waongee, watu mnakuja na sijui Div 1, ndo bora , sijui takataka gani, je mnajua sector ya Afya kabla ya kufutwa AMO ,apo wengine bado wapo kazini , hawa ndo wamekua waperfom upasuaji mkubwa na mdogo kwa ufanisi mkubwa? ,je hawa walikua na Div 1 ,

Tumekua na watu katika taifa wa kujifanya kujua kila kitu ali hali kuendesha familia zao zinawashinda
 
Hujuii chochote...KUPATA DIVISION ONE YA PCB,

NI KITU TOFAUT NA KWENDA KUSOMEA KOZI YA UDAKTAR WA BINADAMU NI KITU TOFAUTI.....

WENYE UFAHAMU TUNAELEWA.....

nikutakie mapumziko mema ya jumamosi ..
Hahahaaa.

Kila sehemu/stage inakuwa ni kuanza upya na kusahau yaliyopita.

Uko sahihi usemavyo, ni ushahidi wa hili
 
Back
Top Bottom