Nusu ya Madaktari wafeli mtihani. Serikali acheni kudahili vilaza wa "D" kwenye taaluma inayogusa uhai wetu

Huwezi chukua mwanafunzi mbovu afu ukategemea afauli vizuri.
Vyuoni wanafunzi wanajisifu kuibia mitihani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwani udaktari wanajifunza form six mkuu?

Kule vyuoni ndio wanaenda kusomea taaluma.

Halafu mtu kupata division 3 au 2 sio kwamba mbovu kitaaluma.

Ni vile tu form 6 na 4 wanafunzi hupimwa kwa mtihani mmoja tu kitu ambacho vyuoni hakuna

Vyuoni matokeo ya UE na test ndio yanaamua uwezo wa mtu hata matokeo yako mwishoni kwenye GPA. Elimu ya chuo iko fair sana kuliko sekondari
 
Kwani udaktari wanajifunza form six mkuu?

Kule vyuoni ndio wanaenda kusomea taaluma.

Halafu mtu kupata division 3 au 2 sio kwamba mbovu kitaaluma.

Ni vile tu form 6 na 4 wanafunzi hupimwa kwa mtihani mmoja tu kitu ambacho vyuoni hakuna

Vyuoni matokeo ya UE na test ndio yanaamua uwezo wa mtu hata matokeo yako mwishoni kwenye GPA. Elimu ya chuo iko fair sana kuliko sekondari
Labda hatujaelewana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake kwa kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana. Afya sio sehemu ya kupatia ajira sasa hivi imekuwa kama ualimu zamani kwamba umekosa hadi Afya? Kisa kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira.

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu. Serikali chukueni hatua sasa hamjachelewa.

Udaktari mbona huwa hawachukui wenye d3
 
Si umemuona Mruma Professor uchwara anayefundisha wanafunzi miaka chungu nzima hapo UDSM anabanwa na graduate wa 2017 sijui 2019 kwenye ile kesi ya madini. Anaishia kujibu I didn't wake up well. Na wakati yeye ndiye alihusika kumshauri Magufuli kwenye madini na makinikia ya trilioni za uongo
Alafu wakija Ulaya wakiambiwa hawana akili wanasema wamebaguliwa na wenye macho ya blu kweli vilaza Tanzania ni wengi
 
Ukienda kusahisha mtihani wa NECTA utashangaa na matokeo yatakayotangazwa baadae, Serikali inaua elimu kwa makusudi.
Standardization imezidi, wakati wa kusahisha mtoto amepata D lakini wakati wa kutangaza matokeo unakuta mtoto kapata B.
Duuh rudi ujazie nyama kidogo kuhusu hii ishu
 
Unachosema ndo ukwel wenyewe kuna sekta na taaluma zinachezewa sana wakat ni muimu sana kwa taifa ww umeongelea dokta mimi kuna watu wanaitwa JWTZ
Hawa Jwtz imekua ni sekta ya hovyo sana na ata weng ya vijana wanakingia jeshi hawana sifa wala vigezo ya kuingia jeshi ila tu wanabebana
Yan kwakua tunaamin akuna vita Tz sasa watu wamebadilisha jeshi km sehemu ya kupatia ajira kwa urahisi lakin pia kupata mishahara mikubwa leo mtu anamaliza degree anakosa kazi anamtafta baba, mjomba, shangazi alieko jeshi anamfanyia mchongo kijana anaingia jeshi ndan ya mwaka mmoja kijana tayar ananyota moja anakula mshahara ad 1 million

Siombei mabaya ila naamini kbsa siku kikinuka apa kwetu JWTZ weng sana watakimbia magwanda na kuacha siraha mapolini weng wamefata mishahara na ajira za rahisi ila sio moyo wa JESHI
NA ndo maana ata wakienda kulinda amani huwa wanakufa kinyama sababu weng wameingia jeshi kusaka maslai
Serikal inatakiwa kuangalia ili suala kwa makini sana Asilimia 75 %ya vijana walioko jeshi wameingia sabu wanataka mislai makubwa lkn pia jeshi ndo sehemu rahis mtu kuingia kwa sasa

Mtasema wanenda mafunzo miezi sita miezi sita haiwez kukutegenezea ujasiri na uzalendo wa kufia taifa lako
 
Wewe nae umeleta mihemko kwenye hoja nzito na inayohitaji discussion ndefu kidogo. Watu hawafeli kwamba mitihani ni migumu, hizo board za taaluma wanafanya biashara badala ya kutoa huduma.
 
Mfumo wa elimu pia mbovu sana, failures ndo wanakuwa waalimu, jamani nyie haya mambo magum sana, mi nlisoma Kayumba nikiwa na ndoto za kuwa Dr, mwalimu anakifundisha matango pori sikuamini matokeo yanatoka nimefeli Physics na Mathematics nikaangaliwa masomo nliyofaulu sana nikapangiwa HGK, nilisoma hiyo hiyo hadi sasa hivi nimeishia kuwa natibu familia yangu kwa uwezo wa kitabibu nliozaliwa nao, nimesoma management imagine, watu wa karibu wnaoishi kwnagu hasa wadogo wananiambia ulitakiwa kuwa Dr, nawaambia nafahamu hivi vitu kwa sababu yenu someni muwe madaktari. Ila moyoni najua nlichopitia. Hii nchi ina mambo mengi kwenye elimu.
 
Hakuna biashara, wanafunzi wengi hawakidhi vigezo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Una uhakika unachokiongea..?
Truth be told, kuna serious restructuring inayotakiwa ku govern hizi board onwards kama kweli we need to advance hata kwenye kuzalisha wana taaluma bora. Matatizo ni mengi sana humo, usibishe kama you have never sitted in any of those exams na kama hujawahi kufanya kazi kwenye hizo board.
 
Unakuta kijana kaingia JWTZ na degree yake moja ndan ya miaka 5/7 tyr kijna ananyota ad 3 captan tyr mshahara mkubwa kinachofata sasa ni kuanza kutaka wake na mademu za watu mtaani na kutishia na kupiga vijana wa kimaskin kisa mademu kisa kakosea kitu kidgo
Mtaani kamepita na gari lake kamefanya makosa kenyewe kanaanza kutishia kupiga watu yan vimekua vya hovyo nyota zimekua za kutishia na kupigia watu

Serikal inatakiwa kua makini sana sio kila sekta niyakuchezea sio kila taaluma niyakuchukulia poa na kupeana sio kla ajira inataka rushwa sio kila ajira tunabebana mjomba sangazi baba babu dada tunapelekana kisa moja yuko JWTZ
anavuta ndugu zake
 
Unakuta kijana kaingia JWTZ na degree yake moja ndan ya miaka 5/7 tyr kijna ananyota ad 3 captan tyr mshahara mkubwa kinachofata sasa ni kuanza kutaka wake na mademu za watu mtaani na kutishia na kupiga vijana wa kimaskin kisa mademu kisa kakosea kitu kidgo
Mtaani kamepita na gari lake kamefanya makosa kenyewe kanaanza kutishia kupiga watu yan vimekua vya hovyo nyota zimekua za kutishia na kupigia watu

Serikal inatakiwa kua makini sana sio kila sekta niyakuchezea sio kila taaluma niyakuchukulia poa na kupeana sio kla ajira inataka rushwa sio kila ajira tunabebana mjomba sangazi baba babu dada tunapelekana kisa moja yuko JWTZ
anavuta ndugu zake
Peleka malalamiko jeshini,,, punguza mehemko kiongoz,unajua hasira zinaweza kufanya utoe mawazo nje ya mada! Inawezekana malalamiko yako Yana mashiko lkn Kwa hapa ni kama unasimulia!
 
Ndo twarudi pale pale Siasa kwenye elimu.

Wanafunzi wengi wana grade zisizo zao.
Matokeo ya 2012 yalikuwa matokeo halisi ila wafanyabiashara wa shule wakalia lia sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yaliishia 2013 intake ya first year wa October 2013(maana 1 PCB zilikua za kumulika na tochi 30 nadhani nchi nzima, hata TO hakua na 1.3).... form six waliomaliza 2014 ndo mambo ya BRN yalipoanzia na kufaulu kama wananawa
 
Yaliishia 2013 intake ya first year wa October 2013(maana 1 PCB zilikua za kumulika na tochi 30 nadhani nchi nzima, hata TO hakua na 1.3).... form six waliomaliza 2014 ndo mambo ya BRN yalipoanzia na kufaulu kama wananawa
Siasa zimeingizwa kwenye elimu yetu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake kwa kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana. Afya sio sehemu ya kupatia ajira sasa hivi imekuwa kama ualimu zamani kwamba umekosa hadi Afya? Kisa kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira.

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu. Serikali chukueni hatua sasa hamjachelewa.


Nafikiri ndugu unaongea usichokijua au umekalilishwa vitu visivyo na ukweli.
 
Back
Top Bottom