Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Mh..naona 'manyoya' hapa?:biggrin1::biggrin1:
Ukiona hivyo ujue kaliwa
Mh..naona 'manyoya' hapa?:biggrin1::biggrin1:
Unamaanisha Preta ndo keshaliwa hapa lolUkiona hivyo ujue kaliwa
Vijana wa Mnyamani utawajua tu!....Bora sijapita hapa....
Nkiki mae?Ukipata mpenzi mpya, usianze kupigia watu kelele ukihisi unadate malaika......malaika wote wapo mbinguni hakuna anayeishi Yaeda Chini.....usidhani huyo ni bora kuliko uliyemuacha....ni kuvumiliana tu....
Ukiuza paka wako wa nyumbani...ukanunua mbwa.....there is no progress....they are all domestic animals....
sawa jamani....?
Hapa tunaongelea ngoma.......yani kwamba ngoma zikivuma sanaaaa...eti yani zinatakaga kupasuka.Hommie kuna nini hapa?
Inategemea na iana ya ngozi hommie..............Hapa tunaongelea ngoma.......yani kwamba ngoma zikivuma sanaaaa...eti yani zinatakaga kupasuka.
Mbutaaa.....kyalema meku....
Hommie.......eti ukiacha kunywa kasto laiti, ukanywa Senetor unakuwa hujafanya maendeleo......zote ni biya tu!Nkiki mae?
Nyingine ngumu.......nyingine sio ngozi ni vitambaa vya tetron!!Inategemea na iana ya ngozi hommie..............
hahahaha Yaeda yalipuka leoHommie.......eti ukiacha kunywa kasto laiti, ukanywa Senetor unakuwa hujafanya maendeleo......zote ni biya tu!
very very naniliu this girl from Yaeda Chini.