BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
NSSF, PPF NA WENGINE WANADHULUMU WANACHAMA WAO
Taasisi nilizozitaja huwa sizitofautishi sana na mtu uliyempa kazi ya kukusanyia pango ya nyumba yako na akutunzie pesa zako lakini pia utampatia ujira.. Lakini cha ajabu mtu huyu akishakusanya pesa anafanya mambo yafuatayo na wewe hutakiwi kuingilia hata chembe.
NSSF/PPF
1. Wanapanga kiwango cha michango toka kwa wanachama 10% of basic salary
2. Wanalazimisha waajiri nao wa top up 10%
3. Wanaweka michango yetu bank na wao wanakula riba
4. Wanajenga majumba na wao wanakula kodi ya pango
5. Wananunua hisa kwenye makampuni na wao ndo wanakula dividend
6. Na mengine mengi tu.
WANACHAMA
1. Vyote kati ya hivyo hapo juu sisi wanachama haturuhiwi kufaidkika na hata kimoja
2. Ukiacha kazi ukitaka michango yako unaambiwa usubiri miezi sita ndio uanzae ku claim
3. Na pia baada ya ku claim inakubidi usubiri si chini ya miezi miwili kulipwa
4. Hata ukilipwa michango hakuna chochote kinacho ongezwa dhidi ya ile ile michango yako
Je kuna haja gani ya kutumia hivi vyama?
Taasisi nilizozitaja huwa sizitofautishi sana na mtu uliyempa kazi ya kukusanyia pango ya nyumba yako na akutunzie pesa zako lakini pia utampatia ujira.. Lakini cha ajabu mtu huyu akishakusanya pesa anafanya mambo yafuatayo na wewe hutakiwi kuingilia hata chembe.
NSSF/PPF
1. Wanapanga kiwango cha michango toka kwa wanachama 10% of basic salary
2. Wanalazimisha waajiri nao wa top up 10%
3. Wanaweka michango yetu bank na wao wanakula riba
4. Wanajenga majumba na wao wanakula kodi ya pango
5. Wananunua hisa kwenye makampuni na wao ndo wanakula dividend
6. Na mengine mengi tu.
WANACHAMA
1. Vyote kati ya hivyo hapo juu sisi wanachama haturuhiwi kufaidkika na hata kimoja
2. Ukiacha kazi ukitaka michango yako unaambiwa usubiri miezi sita ndio uanzae ku claim
3. Na pia baada ya ku claim inakubidi usubiri si chini ya miezi miwili kulipwa
4. Hata ukilipwa michango hakuna chochote kinacho ongezwa dhidi ya ile ile michango yako
Je kuna haja gani ya kutumia hivi vyama?