Mwanakijiji,
Inawezekana wana nia nzuri na inaweza kutuepusha na haya ma capacity charge ya kina dowans kwa kuwa hili ni shirika la umma na faida watakayopata itaingia hazina. Lakini kwa upande mwingine wenye fedha hizo wangekuwa na sauti kidogo kwenye fedha zao. Haiwezekani Sumaye ambaye si mwanachama wa mfuko huo kukopa wakati mimi mwenye akiba yangu huko nashindwa kukopeshwa hata nusu ya akiba yangu.
Inawezekana wana nia nzuri na inaweza kutuepusha na haya ma capacity charge ya kina dowans kwa kuwa hili ni shirika la umma na faida watakayopata itaingia hazina. Lakini kwa upande mwingine wenye fedha hizo wangekuwa na sauti kidogo kwenye fedha zao. Haiwezekani Sumaye ambaye si mwanachama wa mfuko huo kukopa wakati mimi mwenye akiba yangu huko nashindwa kukopeshwa hata nusu ya akiba yangu.