Wa Ndima JF-Expert Member Aug 13, 2010 1,526 323 Feb 15, 2011 #1 Jihadhalini na noti bandia za 10,000 zimezagaa mno. Inasemekana Benki ya CRDB Lumumba wamezigawa kwa wateja.
Jihadhalini na noti bandia za 10,000 zimezagaa mno. Inasemekana Benki ya CRDB Lumumba wamezigawa kwa wateja.
T TEGEMEA JF-Expert Member Jan 25, 2011 369 56 Feb 15, 2011 #3 Hizinoti za 10,000 kweli ni feki kwani zinatoa rangi.
Wa Ndima JF-Expert Member Aug 13, 2010 1,526 323 Feb 15, 2011 Thread starter #4 Katavi said: Mpya au za zamani. Click to expand... Noti mpya za 10,000 na juzi mwenye duka la Hardware Tegeta kalizwa 2,000,000
Katavi said: Mpya au za zamani. Click to expand... Noti mpya za 10,000 na juzi mwenye duka la Hardware Tegeta kalizwa 2,000,000
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Feb 15, 2011 #5 ohoooooooo! mambo gani tena haya, jamani
Wa Ndima JF-Expert Member Aug 13, 2010 1,526 323 Feb 15, 2011 Thread starter #6 Nimepata habari wafanyakazi wa TSN (DailyNews/HabariLEO) wamelizwa kwa kupewa noti hizo.
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,594 2,981 Feb 15, 2011 #7 Ni balaa tupu. Watu wameanza kuziogopa noti mpya!
Wa Ndima JF-Expert Member Aug 13, 2010 1,526 323 Feb 15, 2011 Thread starter #8 Nyingi zina namba mfuatano mwishoni ni 366 na 362
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,594 2,981 Feb 15, 2011 #9 Wadau, jee ATM za benki zote zina uwezo wa kuzitambua noti feki na kutozitoa kwa wateja?
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Feb 15, 2011 #10 sasa watu wakale wapy ka maisha ni magumu................???
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Feb 15, 2011 #12 Wa Ndima said: Jihadhalini na noti bandia za 10,000 zimezagaa mno. Inasemekana Benki ya CRDB Lumumba wamezigawa kwa wateja. Click to expand... kama wamezigawa kwa wateja ina maana na wao wanazipokea au?
Wa Ndima said: Jihadhalini na noti bandia za 10,000 zimezagaa mno. Inasemekana Benki ya CRDB Lumumba wamezigawa kwa wateja. Click to expand... kama wamezigawa kwa wateja ina maana na wao wanazipokea au?
M Mgalatia JF-Expert Member Nov 28, 2007 430 139 Feb 15, 2011 #13 Nadhani ndiyo Ari zaidi na kasi zaidi.sijui tunaenda wapi. Kwa hiyo zile tetesi kuwa pesa mpya ziliibiwa airport zinaanza kudhihirika kimamna!
Nadhani ndiyo Ari zaidi na kasi zaidi.sijui tunaenda wapi. Kwa hiyo zile tetesi kuwa pesa mpya ziliibiwa airport zinaanza kudhihirika kimamna!