Noma kilo kumi

47pro

JF-Expert Member
Aug 3, 2015
1,204
332
Nakumbuka kitambo nikiwa primo niliwahi beba chakula(iyo day nilibeba kuku na chapo) nanilikua nimeplan vile nitaflossia kale kacrush kangu ka class four. Izo masiku nakumbuka tulikua tunatumia kasuku ya mafuta ya mboga kama lunch box tukienda shule.Sasa,on this material day, nilikua naringa sana hadi nikaambia chopi wa daro anifanyie assignment alafu lunch time ikifika nitamshughulikia na kiwing kimoja cha kuku. Iyo siku nikakua an instant Celebrity kwa class. Hata hako kacrush kangu kakaanza kunitupia masmile zingine mwenda nikajua bassss,,mambo yangu ishakua sawa.

Nakumbuka hataniliambia prefect wa class anivute kwa list ya noise makers na late comers alafu kilanchielle kikifika atapata zigwembe ya kuku. Kila mtu alikua ananiworship kwa class msee.Ikafika lunch time.... nikajua ata sitakula nasitatoka daro hadi wasee warudi classes alafu iyo afternoon preps ndio nianze kula my yummy food. kengele ikalia ya kumaliza lunch break,,wale wasee wote nilikua nawa-owe a piece ofchicken wakagather around my locker....nikatoa kasuku yangu ya food....nikatoa kijiko alafu nikafungua ati ndio nimange. Hapo ndio nikapata nilikua nimesahau nikabeba mafuta ya mboga nikaacha chakula...
 
Nakumbuka kitambo nikiwa primo niliwahi beba
chakula(iyo day nilibeba kuku na chapo) na
nilikua nimeplan vile nitaflossia kale kacrush
kangu ka class four. Izo masiku nakumbuka
tulikua tunatumia kasuku ya mafuta mboga
kama lunch box tukienda shule.
Sasa,on this material day, nilikua naringa sana
hadi nikaambia chopi wa daro anifanyie
assignment alafu lunch time ikifika
nitamshughulikia na kiwing kimoja cha kuku. Iyo
siku nikakua an instant Celebrity kwa class.
Hata hako kacrush kangu kakaanza kunitupia
masmile zingine mwenda nikajua bassss,,
mambo yangu ishakua sawa. Nakumbuka hata
niliambia prefect wa class anivute kwa list ya
noise makers na late comers alafu kilanchielle
kikifika atapata zigwembe ya kuku. Kila mtu
alikua ananiworship kwa class msee.
Ikafika lunch time.... nikajua ata sitakula na
sitatoka daro hadi wasee warudi classes alafu
iyo afternoon preps ndio nianze kula my yummy
food. kengele ikalia ya kumaliza lunch break,,
wale wasee wote nilikua nawa-owe a piece of
chicken wakagather around my locker....nikatoa
kasuku yangu ya food....nikatoakijiko alafu
nikafungua ati ndio nimange. Hapo ndio
nikapata nilikua nimesahau nikabeba mafuta ya
mboga nikaacha chakula...
teh teh teh
in short ulikuwa bwege.....
 
Nakumbuka kitambo nikiwa primo niliwahi beba
chakula(iyo day nilibeba kuku na chapo) na
nilikua nimeplan vile nitaflossia kale kacrush
kangu ka class four. Izo masiku nakumbuka
tulikua tunatumia kasuku ya mafuta mboga
kama lunch box tukienda shule.
Sasa,on this material day, nilikua naringa sana
hadi nikaambia chopi wa daro anifanyie
assignment alafu lunch time ikifika
nitamshughulikia na kiwing kimoja cha kuku. Iyo
siku nikakua an instant Celebrity kwa class.
Hata hako kacrush kangu kakaanza kunitupia
masmile zingine mwenda nikajua bassss,,
mambo yangu ishakua sawa. Nakumbuka hata
niliambia prefect wa class anivute kwa list ya
noise makers na late comers alafu kilanchielle
kikifika atapata zigwembe ya kuku. Kila mtu
alikua ananiworship kwa class msee.
Ikafika lunch time.... nikajua ata sitakula na
sitatoka daro hadi wasee warudi classes alafu
iyo afternoon preps ndio nianze kula my yummy
food. kengele ikalia ya kumaliza lunch break,,
wale wasee wote nilikua nawa-owe a piece of
chicken wakagather around my locker....nikatoa
kasuku yangu ya food....nikatoakijiko alafu
nikafungua ati ndio nimange. Hapo ndio
nikapata nilikua nimesahau nikabeba mafuta ya
mboga nikaacha chakula...
Imebidi nicheke sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom