Jamani nawaombeni msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya ku connect Internet katika Nokia N8.
Nimewapigia Airtel na Zantel wote wanasema hawana settings za hiyo simu. Zantel wakanieleza nitume ujumbe wa hiyo model by SMS halafu nitajibiwa settings zake. Nikafanya as instructed majibu yakaja kuwa no settings za hiyo model.
Na imani jukwaa hili halishindwi kitu. Naomba msaada.
Nimewapigia Airtel na Zantel wote wanasema hawana settings za hiyo simu. Zantel wakanieleza nitume ujumbe wa hiyo model by SMS halafu nitajibiwa settings zake. Nikafanya as instructed majibu yakaja kuwa no settings za hiyo model.
Na imani jukwaa hili halishindwi kitu. Naomba msaada.