kirikuu19999
Member
- Jul 8, 2018
- 86
- 121
Habari wana jukwaa naulizia gharama za unlimited internet kwa makampun ya sim mwenye anajua anijuze niliulizia Vodacom huduma kwa wateja wakaniambia hiyo huduma ipo ila unakua umefungiwa ka dish flan hv nyumban na wakaniambia unachagua speed 10MB/s ni Tsh 115,000/= na 20MB/s ni Tsh 165,000/= wakaniambia nitume location ili waweze kufanya survey bahata mbaya eneo nililopo huduma hiyo haipo nakafel hapo.
Hapa nilipo nipo karbu na Hospitali ila hospitali inatunia unlimited ya zantel wamewekewa na dish ila wanalipa 600,000 kwa mwez na mi naona ni sawa taasis kubwa kwa lak sita unlimited sawa Tigo kwa taasis kubwa najua hua ni laki 9 kwa mwez Tigo wana bei bei kidogo
sijui kuhusu TTCL, Airtel na Halotel na kwa upande wa Tigo na zantel najua gharama kwa Taasis kubwa kama Hospitali ila gharama za mim kama mm nkihitaj huduma hiyo sijui ni sh ngap mwenye anajua gharama individual za makampuni haya ya sim unlimited internet kwa mwez na gharama zake naomba anisaidie Vodacom najua hiyo mingne nisaidie wenye experience ili nione wap niende mi nacho taka yan Home based
Hapa nilipo nipo karbu na Hospitali ila hospitali inatunia unlimited ya zantel wamewekewa na dish ila wanalipa 600,000 kwa mwez na mi naona ni sawa taasis kubwa kwa lak sita unlimited sawa Tigo kwa taasis kubwa najua hua ni laki 9 kwa mwez Tigo wana bei bei kidogo
sijui kuhusu TTCL, Airtel na Halotel na kwa upande wa Tigo na zantel najua gharama kwa Taasis kubwa kama Hospitali ila gharama za mim kama mm nkihitaj huduma hiyo sijui ni sh ngap mwenye anajua gharama individual za makampuni haya ya sim unlimited internet kwa mwez na gharama zake naomba anisaidie Vodacom najua hiyo mingne nisaidie wenye experience ili nione wap niende mi nacho taka yan Home based