BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,105
- 10,719
Hii ni taarifa nzuri kwa wale wote wanaopenda kuona maadili ya Watanzania yanabaki kuwa ni maadili mema kwa maana kizazi kilichopo na kijacho kinaishi katika misingi mema yenye tija kwa mtu binafsi na Taifa in General.
Ni uzuni na mateso kwa wapenda vitu flani kwenye mitandao the good things ni kuwa maamuzi yenye malengo mazuri yanapotolewa hayaangalii ni nani ataumia.
No VPN the only way kusurvive kwa wale wapenda vitu flani ni kucope na vile TCRA wanavyotaka maana kuna Rungu linakuja huko Telegram yaani mpaka mseme.
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.
Ni uzuni na mateso kwa wapenda vitu flani kwenye mitandao the good things ni kuwa maamuzi yenye malengo mazuri yanapotolewa hayaangalii ni nani ataumia.
No VPN the only way kusurvive kwa wale wapenda vitu flani ni kucope na vile TCRA wanavyotaka maana kuna Rungu linakuja huko Telegram yaani mpaka mseme.
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole.