<br />Wat i mean ni kwamba FACEBUKU is Useless unless uwe unatangaza biashara zako... utakuta mtu ana post gudmorning watu wana like na ku comment...kesho yake kichwa kinauma anapost so kwa mwaka.... shit after shit...anyway ni my own opinion
ona hii dunia ilivo kuna wenye mawazo ya kujenga na mawazo ya kubomoa. Maybe cheki history ya creator ya facebook mrusi mwenye asili ya kiyahudi ni nani? Usifkiri anonymous wana own internet ni misifa tuuuuuu.......... Watakua wametumwa na myspace rival wakubwa wa fb
lisemwalo lipo mkuu ngoja tusubirie!! wamejiamini nini hadi kutangaza siku na saa?!!cjui watafanyeje wenzao walishindwa
'My Space' itabaki kuwa juu no matter what!
<br />Kaka MySpace wako hoi sasa hivi inauzwa bei ya kutupa. <br />
<br />
<a href="http://www.theinquirer.net/inquirer/news/2101465/news-corporation-reveals-usd254m-loss-sale-myspace" target="_blank">News corporation reveals $254m loss on sale of myspace- The Inquirer</a>
<br />Kaka MySpace wako hoi sasa hivi inauzwa bei ya kutupa. <br />
<br />
<a href="http://www.theinquirer.net/inquirer/news/2101465/news-corporation-reveals-usd254m-loss-sale-myspace" target="_blank">News corporation reveals $254m loss on sale of myspace- The Inquirer</a>