Njozi ya Mwanakijiji: Tanzania kama Nigeria

Naahidi inshallah itaendelea sehemu nyingine wiki ijayo; wapi itaendelea sijajua bado lakini nitaangalia hata kama ni kuendelea hapa..
 
Naahidi inshallah itaendelea sehemu nyingine wiki ijayo; wapi itaendelea sijajua bado lakini nitaangalia hata kama ni kuendelea hapa..

dogo punguza ubishi,
sasa fanya mipango uanzishe clip za kuhojiana na viongozi mbali mabali na kuziweka kwenye video na vitabu kwa matumizi ya siku za baadae.

fanya makeke uwe aljazeera ili kama mahojiano utayoyafanya na viongozi hao yaruke fasta east afrika
 
Mwanakjj please andika kitabu hii ndoto ili ijekuwa kumbukumbu ya kudumu hata wajukuu zetu waikute kwenye maandishi ya kitabu, fanya hivyo baada ya kuisimulia kwenye gazeti
 
Umesahau kwamba Mzee mwanakijiji ni mwana falsafa......kama utakumbuka mafunzo ya awali katika kiswahili kwa mfano ulipokuwa unasoma kitabu cha "kuli". Yeye (mwanakijiji ) nia yake ni kufikisha ujumbe kwa walengwa. Kwa hiyo ndoto usiitafsiri kama ndoto..

Nami nakuunga mkono. Tatizo watu wengi tumekuwa wavivu kufikiri. Tunayatafsiri maandishi kama yalivyoandikwa badala ya kuyatafsiri kwa mapana na marefu. Nadhani kwa tafsiri hizi hata Ngugi wa Thiong'o hatuwezi kumwelewa kwenye Grain of Wheat.
 
Back
Top Bottom