Njozi ya Mwanakijiji: Tanzania kama Nigeria

Ukiwa kilaza basi unakuwa na chuki ,mchawi , mdhalimu , mshenzi , roho mbaya nk.Nyerere anauwamiza sana na kutaka kutangazwa mt.Waachie wakatoliki na mambo yao nyie mnaweza kuyafanya hayo muda wenu ukifika .Jadili hoja acheni vioja nyie wapuuzi .Mtu kafa kila siku kejeli angalikuwa dhuluma leo mnaliweza hata kusoma nyie ? Alichukua shule zetu akawapa hadi za kusoma wakati .............................wewe usiniudhi nikasema maneno ya kuwaudhi wengi kumbe uko mpuuzi peke yako .

Unazungumzia hizi shule zilijengwa na...


Viongozi wa Dini Wakiri Kuhusika Na Dawa za Kulevya


Viongozi sita wa madhehebu ya dini wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nchini, wamejitokeza mbele ya Kamati ya Maadili ya Viongozi wa Dini na Haki za Jamii na kukiri kujihusisha na biashara hiyo kwa muda mrefu sasa.

Afisa Uhusiano wa Jeshi la Polisi Zanzibar Inspekta Mohammed Mhina, amesema kuwa baada ya kuhojiwa, Viongozi hao waliiomba Kamati hiyo kutowataja hadharani majina ama madhehebu yao kwa kuhofia kubezwa kwa madhehebu wanayoyaongoza.

Akizungumza mwishoni mwa ziara yao Visiwani humo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mchungaji William Mwamalanga wa Kanisa la Pentekosti Tanzania, amesema kuwa orodha hiyo na nyingine ya watu 18 wakiwemo wafanyabiashara wakubwa na Wanasiasa wanaojihusisha na biashara hiyo haramu zote zitafikishwa kwa Mkuu wa kitengo cha Polisi cha Kupambana na dawa za kulevya nchi.

Mchungaji Mwamalanga amesema kuwa, tatizo la ongezeko la dawa za kulevya pia inazihusu nchi mbalimbali duniani na kwamba kamati hiyo itakutana na kamati nyingine kama hizo za nchi za Maziwa Makuu kwa maana ya Afrika ya Mashariki kuzungumzia ufumbuzi wa suala hilo.

Amesema mkutano huo pia utapendekeza kwa mabunge ya nchi hizo na Bunge la Afrika ya Mashariki kutunga sheria za kuwafilisi wale wote waliojilimbikizia mali kutokana na biasha za dawa za kulevya kwa nchi wanachama.
 
Nadhani ni muendelezo wa makala za Mwanakijiji; watu mliopo Dar ina maana hamuoni makala hayo?
 
Wanahaha za kutafuta muujiza wa kumfanya Nyrere kuwa mtakatifu. Wapii ? muujiza wake ulikuwa mmoja tu! Kudhulumu mali za watu huku anacheka.
wewe na muota ndoto wote viherehere. Mleta mada anashangaza kweli. Inamhusu nini???!!
 
Ni matazamio yangu makubwa kwamba watanzania tungeanza mchakacho wa kuwatambua watu maarufu barani Afrika akiwemo Nyerere. Pamoja na sifa kemkem anazomiminiwa mzee Madiba, lakini Nyerere ndiye mvuja jasho la ukombozi barani Afrika na hata taifa letu kubaki nyuma sababu ya kuelekeza nguvu kulikomboa Bara lote la Afrika.

Kama wengi mnakumbuka hata makao makuu ya ukombozi barani Afrika yalikuwa Tanzania. Wapigania haki South Afrika wamelelewa SUA Morogoro. Hayo tu hayatoshi kumjengea credit mzee wetu. Tusitazamie mtui mgeni aje amjengee credit Nyerere wakati sisi wazawa tunampiga vita.

Mbona Mfalme Daud alimnyang'anya Uria mke wake na kisha kufanya njama za kumwua vitani, lakini Mfalme Daud Bado ana historia kubwa katika Taifa la Israeli na dini mbalimbali?
 
Umesahau kwamba Mzee mwanakijiji ni mwana falsafa......kama utakumbuka mafunzo ya awali katika kiswahili kwa mfano ulipokuwa unasoma kitabu cha "kuli". Yeye (mwanakijiji ) nia yake ni kufikisha ujumbe kwa walengwa. Kwa hiyo ndoto usiitafsiri kama ndoto..
 
Kwani ndio katika zile Njozi zake, kule Tanzania Daima? Si anasimulia kuwa kamuona mlinzi wa Tanzania aitwaye Sifaeli, Malaika mlinzi wa nchi ya Tanzania ama..!?

Lakini jamani, mtu si anaweza kuota vyovyote vile, kwani kuna limit ya kuota, mwacheni aote akimaliza atahamka tu, tatizo nini?

Go go Mwanakijiji, Keep dreaming... You never know... Maybe one day you'll wake up and this will all just be a dream...!

The future belongs to those who believe in the beauty of their dreams.
- Eleanor Roosevelt
 
Njozi ya mwanakijiji inayotoka kila jumatano gazeti la Tanzania Daima ni kiboko na inatisha, na hasa matendo ya Mharibifu. Sehemu ya kwanza mpaka ya tatu zilikuwa zinaogopesha sana kwa vile Mwanakijiji alichukuliwa kupelekwa sehemu asiyoijua na mtu asiyemjua ambaye alikuja kumwambia kuwa ni Sifaeli. Sehemu ya nne inaafadhali ingawa hatujui ni kitu gani kitampata Mwanakijiji baada ya kuamua kumfuata Nyerere ili kumtoa kutoka ufalme wa moto wa Waharibifu. Kinachotia moyo katika Njozi ya mwanakijiji ni malaika Sifaeli ambaye anaonekana kuwa mlinzi wa Mwanakijiji dhidi ya Mharibifu wa Tanzania. Pia inatia moyo kuwa Mwanakijiji amejitoa katika njozi yake kupambana dhidi ya Mharibifu na falme yake ambao wanataka kusambaratisha nchi yetu kwa kutaka kuifuta historia ya Baba wa taifa na kwa kutumia ngazi ya udini.

Hongera mwanakikiji kwa kutushirikisha njozi yako. Lakini natamani ningeipata yote kuliko kuisubiri kila wiki mara moja. Yaani siku saba naona nyingi kusubiri njozi hii. Sijui itaishaje, Hivi ni kweli ni njozi au la?
 
Njozi ya mwanakijiji inayotoka kila jumatano gazeti la Tanzania Daima ni kiboko na inatisha, na hasa matendo ya Mharibifu. Sehemu ya kwanza mpaka ya tatu zilikuwa zinaogopesha sana kwa vile Mwanakijiji alichukuliwa kupelekwa sehemu asiyoijua na mtu asiyemjua ambaye alikuja kumwambia kuwa ni Sifaeli. Sehemu ya nne inaafadhali ingawa hatujui ni kitu gani kitampata Mwanakijiji baada ya kuamua kumfuata Nyerere ili kumtoa kutoka ufalme wa moto wa Waharibifu. Kinachotia moyo katika Njozi ya mwanakijiji ni malaika Sifaeli ambaye anaonekana kuwa mlinzi wa Mwanakijiji dhidi ya Mharibifu wa Tanzania. Pia inatia moyo kuwa Mwanakijiji amejitoa katika njozi yake kupambana dhidi ya Mharibifu na falme yake ambao wanataka kusambaratisha nchi yetu kwa kutaka kuifuta historia ya Baba wa taifa na kwa kutumia ngazi ya udini.

Hongera mwanakikiji kwa kutushirikisha njozi yako. Lakini natamani ningeipata yote kuliko kuisubiri kila wiki mara moja. Yaani siku saba naona nyingi kusubiri njozi hii. Sijui itaishaje, Hivi ni kweli ni njozi au la?

Nashukuru sana.
 
Hii njozi inasisimua sana.Inakufanya ufikiri kinachofuata huku ukiomba iishie hapo hapo.Zaidi ufundi na utundu wa lugha hunaiongezea utamu sana.
 
Wanahaha za kutafuta muujiza wa kumfanya Nyrere kuwa mtakatifu. Wapii ? muujiza wake ulikuwa mmoja tu! Kudhulumu mali za watu huku anacheka.

Unathubutu kusema Nyerere amedhulumu mali za watu, wepi hao? Tupe few names with specific data, otherwise unakurupuka tu na kulaumu usilolojua. Whether ataitwa Mtakatifu or not, in the eyes of many Tanzanians, Nyerere was the noblest of men...unlike hao ambao wamekurubuni
 
Katika moja ya machapisho ya njozi yake, Mwanakijiji ame/alidokeza kidogo
sana kwamba siku za hivi karibuni amekuwa akiingiwa na hofu (kama sikosei)
sababu anaona nchi yetu Tanzania ni kama vile inataka kuwa kama Nigeria.

Leo nimekumbuka hiyo revelation na haraka haraka nikachora Tanzania VS Nigeria
Matrix, na mimi nikajihisi kama nimeshtuka, sababu kuna vi similarity vibaya
vinavyoonekana haraka haraka sana.

Tanzania Nigeria
Are there precious natural resoucesYesYes
Does the Majority enjoy the benefits
of the natural resources
NONO
Is tribalism involved in politcsYesYes
Is religious difference involved in politicsYesYes
Is the Army involved in serious politicsYesYes
is corruption rampant YesYes
is the regime addressing the corruption problem
adequetly
NONO
Is the Government ready to use the army
in its favour against the citizens
YESYES
Has there ever happened a serious
citizens/army conflict
NoNo

Sijaweza bado kupata majibu kutoka kwenye hii matrix, labda sijaidraft
vizuri, lakini ninachokijua mambo Nigeria sio mazuri hata kidogo, Nigeria
haipendezi hata kidogo. Kama kuna mtu anapata picha anisaidie.
 
Hizo similarities zina-match 100% . Tofauti ni kwamba hawa jama popolation yao iko juu 100+ Million. Lakini hata sisi bongo population yetu inakuwa kwa kasi ya kutisha na soo tutakuwa around 90+ million
 
Ipo tofauti kubwa sana kati ya neno 'tamu'na'tamu zaidi'sasa hapa kwetu japo kihali halisi kati ya uliyoyaorodhesha hapo juu tunakaribiana ni muda tu haujatimia ila ndipo tunapoelekea kwa sasa
 
Back
Top Bottom