Njombe: Aliyeshtakiwa kwa kuwabaka Wanawake kwa zamu na kuwaingizia matango sehemu za siri ahukumiwa miaka 180 jela

Ataishi jela miaka 20.. Miaka jela unaishi 2/3 ya muda uliohukumiwa. Vifungo 6 vya miaka 30 vinaenda pamoja do ni miaka 30 na kwa kuwa unatumikia 2/3 maana yake ni atakaa jela kwa miaka 20
Ah kumbe ndiyo ipo ivyo
Nilikuwa najiuliza atawalipa vipi wakati anaweza fia huko gerezani?
 
Kwahio hapo kila kosa ni miaka 30? na anatumikia kwa pamoja, kwaufupi 6 IN 1, means atakaa ndani miaka 30? Naomba nirekebishwe kama sivyo.
Halafu huyo mganga anaachwajee?
Kwa kuwa inaenda sambamba, atatumikia miaka 30.Lakini sababu jela unatumikia 2/3 basi ataishi jela miaka 20
 
Back
Top Bottom