EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kwa kweli ndugu zangu EMT, HANDBOY NA PAULO mmenipa ushauri wa maana sana ambao umenifanya nione kama ndo nimeshaacha kabisa, nawashukuruni sana wakubwa na naahidi kuyatekeleza yote nliyoelezwa.
All the best. Please ukifanikiwa tupe feedback. Itasaidia wengine pia.