Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,459
- 2,140
Nimeishia kuambulia certificate tu mkuuDah... ukimaliza kusoma lote....na ukalielewa....unagraduate...digrii ya pombe
Sent using Beretta ARX 160
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishia kuambulia certificate tu mkuuDah... ukimaliza kusoma lote....na ukalielewa....unagraduate...digrii ya pombe
Sent using Beretta ARX 160
Kwa sisi tunaoweza kujicontrol maisha yafaa nini bila ya Gambe Bro kama unaweza jicontrol tafuta vitu vingine vya kuacha sio GambeHabarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.
Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.
Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.
Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.
Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi tu.....yako
Mimi ni mnywaji tena kila siku nakunywa...
Mbona sahv nmepumzika Nna siku 6 sijagusa pombe ....kuacha pombe ama kupumzika ni maamuzi yako!
Tatizo watu wanataka wadekezwe wapewe sympathy ili waache kitu fulani.....
Wewe ni kaamua mwenyewe tu kuacha ama kupumzika
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu upo huku unafundisha wadau waache kulipa kodi???
WOKOVU pekee kwa jina la YESUHabarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.
Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.
Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.
Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.
Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
hata Rose Mhando piaMnyweshe bavaria, akizoea ataichukia harufu ya pombe. Wanahubiriwa sana kilabuni na kina Rose Mhando na Bahati Bukuku na kina Mwang'onda - Utanitambuaje......?
Leka