Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Maamuzi tu.....yako
Mimi ni mnywaji tena kila siku nakunywa...
Mbona sahv nmepumzika Nna siku 6 sijagusa pombe ....kuacha pombe ama kupumzika ni maamuzi yako!
Tatizo watu wanataka wadekezwe wapewe sympathy ili waache kitu fulani.....
Wewe ni kaamua mwenyewe tu kuacha ama kupumzika

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.
Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.
Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.
Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.
Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sisi tunaoweza kujicontrol maisha yafaa nini bila ya Gambe Bro kama unaweza jicontrol tafuta vitu vingine vya kuacha sio Gambe
 
Maamuzi tu.....yako
Mimi ni mnywaji tena kila siku nakunywa...
Mbona sahv nmepumzika Nna siku 6 sijagusa pombe ....kuacha pombe ama kupumzika ni maamuzi yako!
Tatizo watu wanataka wadekezwe wapewe sympathy ili waache kitu fulani.....
Wewe ni kaamua mwenyewe tu kuacha ama kupumzika

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Katibu upo huku unafundisha wadau waache kulipa kodi???
 
Kunywa pombe sio ufala , kama wewe ni mkristo unamwitwa bwana Yesu fala kwa kitendo cha kubariki maji yakawa pombe . Mimi ninapopiga serengeti mbili mchanganyiko wa moto na baridi formula zote za hesabu zinaibuka kwenye akili .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.

Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.

Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.

Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.

Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
WOKOVU pekee kwa jina la YESU
 
Wakuu kwema?
Kuna rafiki yangu anakunywa pombe sana na naona kama sio rahisi kuacha japo nimekuwa nikimshauri mara kadhaa.

Sasa jana kaenda kunywa kamaliza pesa zote kaamka hana kitu anajuta sana, inaonekana anahitaji ushauri wa ziada au dawa ili kuacha.

Nawasilisha !
 
Back
Top Bottom