MAMA MKWE>Binti samahani sana,Ukweli hasa huyu mtoto hafanani kabisa na mwanangu(Baba yake mtoto).
BINTI> Mama bila samahani,mimi huku chini nina njia ya uzazi na sio Machine ya photo copy.:shut-mouth:
big no!!! mbona mie sifani na maza wala faza? nafanana na mama mkubwa!lady N.wamtetea 2 huyu!inabidi itoke kwa dad au mum