Njia sahihi ya nchi ya DRC kuwa na amani ni kuishtaki RWANDA kwenye mahakama ya EAC

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,885
Vita vya mara kwa mara nchi DRC ni usumbufu wa nchi ya RWANDA.sasa sioni maana ya kuwa member wa EAC wakati nchi mwanachama anakuletea usumbufu wa mara kwa mara.

Kama EAC haitangilia mzozo wa DRC ni dhahiri itakuwa kama Urusi na Ukraine.
 
Vita vya mara kwa mara nchi DRC ni usumbufu wa nchi ya RWANDA.sasa sioni maana ya kuwa member wa EAC wakati nchi mwanachama anakuletea usumbufu wa mara kwa mara.

Kama EAC haitangilia mzozo wa DRC ni dhahiri itakuwa kama Urusi na Ukraine.
Sioni kama itasaidia kitu. Hukumu ni makaratasi kama hakuna chombo imara cha kuitekeleza.
Kama tu hapa watu wanashinda kwsi na bado hukumu hazitekelezwi we wadhani kagame atatekeleza chochote
 
Kwanini DRC isiivamie Rwanda,,, kaanchi kenyewe kadogo kale

Hili ndio swali la msingi, yaani unapata usumbufu kutoka kwa kainchi kadogo saizi ya mkoa wako mmoja halafu unapigia watu makelele.
Kama imeshindikana kupigana na hao M23, wakae wayaongee kama ilivyo kule Sudan Kusini, kule walipigana miaka mingi sana wakaona hamna tija, wakakubali kuongea na leo hii wanaendelea kuboresha nchi.
 
Hili ndio swali la msingi, yaani unapata usumbufu kutoka kwa kainchi kadogo saizi ya mkoa wako mmoja halafu unapigia watu makelele.
Kama imeshindikana kupigana na hao M23, wakae wayaongee kama ilivyo kule Sudan Kusini, kule walipigana miaka mingi sana wakaona hamna tija, wakakubali kuongea na leo hii wanaendelea kuboresha nchi.
Na aman itapatikana ya kudumu kabisa.,, Toka kagame akamate inchii ya Rwanda,, DRC imepitia madhila mengi sana.
 
Ndio Kuna tetesi ya kwamba Kagame anaiba rasirimali za Congo...
Lakini watu wengi hawajui chimbuko na kiini hasa Cha Rwanda kuwasaidia waasi huko mashariki ya Congo hasa maeneo ya Kivu.
Wengi wetu tunategemea vyanzo vya habari vya kimagharibi ambao wao Kwa kiasi kikubwa wanahusika na mgogoro huu kwenye eneo letu la maziwa makuu.
 
Kwanini DRC isiivamie Rwanda,,, kaanchi kenyewe kadogo kale

DRC imejaa wahuni ambao siyo wazalendo.KAGAME ameshaiba madini mule mpaka amekosa pa kuyaweka. yani ilipasa EAC imwekee vikwazo kagame asipitishe silaha kwenye ports yoyote ya EAC
 
Hili ndio swali la msingi, yaani unapata usumbufu kutoka kwa kainchi kadogo saizi ya mkoa wako mmoja halafu unapigia watu makelele.
Kama imeshindikana kupigana na hao M23, wakae wayaongee kama ilivyo kule Sudan Kusini, kule walipigana miaka mingi sana wakaona hamna tija, wakakubali kuongea na leo hii wanaendelea kuboresha nchi.
Kwa ujumla sioni maana ya EAC ,ikiwa nchi mwanachama anamsumbua mwenzake kijinga jinga. ilitakiwa EAC imwekee kagame vichwazo vya kiuchumi na bkijeshi pia .hapo ningeona maana ya EAC
Maana unajiuliza maswali mengi hupati majibu.mfano : M23 wanapata silaha kutoka wapi

nchi za magharibi zinahujumu Africa kwa kuwauzia silaha wahuni.na bado tunashangilia misaada kutoka kwao.Leo tunafurahi mchele kutoa USA.

UMOJA AFRICA ,unaitaji kutengeneza umoja wa nchi za africa na tuweke mikakati ya kudhibiti wahuni .Yani ikitokea kuna kikundi cha uwasi sila ikikamatwa inatumiwa na hao wapiganaji inafanyiwa forensic na kubaini ni nchi gani ilikotoka,then mabalozi wa nchi hyo wanafukuzwa kwenye ardhi ya africa
 
Sio kuishtaki ni kuipiga
vita wakati mwingine ni shida .maana unayempiga naye ana washirika wake so unaweza kukuta vita imekuwa kubwa sana.silaha nzuri ya kumpigia mjinga ni kmwekea vikwazo vya kiuchumi
 
Hili ndio swali la msingi, yaani unapata usumbufu kutoka kwa kainchi kadogo saizi ya mkoa wako mmoja halafu unapigia watu makelele.
Kama imeshindikana kupigana na hao M23, wakae wayaongee kama ilivyo kule Sudan Kusini, kule walipigana miaka mingi sana wakaona hamna tija, wakakubali kuongea na leo hii wanaendelea kuboresha nchi.
Hukumbuki KDF walivyokimbia muziki wa M23 ambao Ni wing ya RDF???
 
DRC imejaa wahuni ambao siyo wazalendo.KAGAME ameshaiba madini mule mpaka amekosa pa kuyaweka. yani ilipasa EAC imwekee vikwazo kagame asipitishe silaha kwenye ports yoyote ya EAC
Sio solution anatakiwa asipitishe mizigo bandari hizi,, kabisa ,atumie ndege za mizigo. Garama ya maisha ipande ili apate upigwaji mwingi ndani ya inchi yake kwanza kabla ya yote.
 
EAC ni takataka kabisa.akuna haja ya kuwa na hii jumuiya ikiwa kuna mmoja anaweza kufanya uhuni kwa nchi nyingine na jumuiya ipo inaacha ujinga unafanyika.
 
Vita vya mara kwa mara nchi DRC ni usumbufu wa nchi ya RWANDA.sasa sioni maana ya kuwa member wa EAC wakati nchi mwanachama anakuletea usumbufu wa mara kwa mara.

Kama EAC haitangilia mzozo wa DRC ni dhahiri itakuwa kama Urusi na Ukraine.
Tatizo siyo rwanda peke yake, kuna belgium , france , uganda , rwanda , hao belgium na france wana act on behalf of westerners walishamuua hadi katibu mkuu wa united nations kwa kutungua chopa yake , biashara ya congo hadi mzungu aamue haiishi leo huyo rwanda ni chambo tu
Kuna china ambae ana supply silaha kwa m23 na ndio mwenye makampuni mengi ya madini pia drc
Kuna marekani ambae anategemea rare minerals ambazo ndio zinatengeneza apple na bidhaa zake zingine za technology
Kwahiyo ni ngumu sana kwa migogoro kuisha drc, ikiisha maana yake haya madini watayapata kwa bei ya juu
 
Back
Top Bottom