BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Ikiwa imebakia wiki moja kwenda ukweni kujitambulisha na kutoa mahari, mtarajiwa anadai tupostpone our wedding mpaka amalizane na shule kwanza maana she cant handle the strees of finnishing college and wedding preparations..nimeudhika, i am thinking about calling the whole thing off, and move on to the next one..
Taratibu Mkuu!!! Hasira hasara!!!...Kaa na mwenzio muongee kuahirisha huku hadi lini? labda tofauti kati yenu ni miezi michache tu. Shule ngumu Mkuu anatakiwa ajipinde ili afanye vizuri sasa ukiweka tena na maandalizi ya harusi na maandalizi ya mitihani sambamba basi utampa wakati mgumu....Kumbuka mvumilivu....lakini hapo kwenye rangi ni aje? unao wachumba wangapi?