njia panda msaada plz...

Smile wewe kiboko sasa atawapeleka kisha ndo mama asafiri?
ndio kwani kanyimwa kwenda na watoto huko? maisha ni haya haya kwa nini kujichoresha kwa watu? kwani kuishi nje ya nchi ndo huwezi kulea watoto? au ni lazima watoto walelewe hapa tz huko nchi zingine oxygen hakuna au?
 
mke abaki atunze watoto, hela mnazotafuta ni kwaajili ya maisha mazuri ya familia.
Hela haijai, inaweza subiri
ila malezi anayostahiki mtoto leo ukimpa kesho umechelewa.

Vipi kama usipoenda safari kazi huna?
 
watoto si waende kwa bibi yao bwana? kwan akiwepo c anashnda kazin watoto wako shule. cha ajab nin mke kusafiri? aende cha msingi ASIRUD NA MTOTO WA TATU
 
kwamba awapeleke kwa ndugu? manake wa kuja kukaa nao nyumban kwake hakuna ila atakaa miez 3.
miezi mitatu hapana achana na hiyo safari wape wengine waende,the way i love my babies i cant wait 3month without my care nononononononoo think twice other wise unawaacha chini ya mikono ya mdogo wa mke wakike na sio shangazi mtu.
 
gfsonwin sorry kwa maneno ambayo unadhani ni ya ukali.
Iko kama hvi wazazi mara nyingi wanatafuta hela kwa ajili yao na watoto wao ila malezi bora hutoka kwa mzazi akiwa karibu na mtoto kumuchia mtu mwanao anaweza jifunza tabia tofauti na aliyokuws nayo hivyo kuleta shida baadae. Ni hayo tu

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
ishu ndugu wote wana miji yao so ni ngumu kwa mtu kuja kukaa nao unless wapelekwe kwa ndugu.
inategemea na uhusiano wake na hao ndugu, kuwa na mji hakumaanishi huwezi kumsaidia ndugu yako kwenye issue kama hii.
mimi nikiwaga na safari na mume wangu hayupo yaani najichagulia tu this time nimwite nani aje kukaa na wanangu, yaani kupata mtu siyo issue kabisaaaaaaaaaaaaa
 
Watoto ni wadogo kiasi gani? Kama anakwenda kwa muda mfupi kwanini iwe issue? Kwangu mimi sioni tatizo unless kuna tatizo la kukosa communication
 
gfsonwin sorry kwa maneno ambayo unadhani ni ya ukali.
Iko kama hvi wazazi mara nyingi wanatafuta hela kwa ajili yao na watoto wao ila malezi bora hutoka kwa mzazi akiwa karibu na mtoto kumuchia mtu mwanao anaweza jifunza tabia tofauti na aliyokuws nayo hivyo kuleta shida baadae. Ni hayo tu

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
kwa hiyo unaniambia wazazi wastop mambo yao yoooote kwa kipindi wanacholea watoto?
hao watoto wanahitaji malezi bora, yes, lakini pia hela zinahitajika ili kuwapa malezi bora. kama kazi anayoenda kufanya huyo mama itaingiza kipato kwa familia kuna ubaya gani kuwaacha na mtu kwa kipindi hicho?
after all siyo kama utachukua yeyote aje akae na watoto wako. mimi hata mwenyewe nikiwa nyumbani sipendi ndugu wenye tabia mbaya waje nyumbani kwangu. kwa hiyo nikisafiri nitajitahidi kutafuta mzazi mwenye tabia nzuri aje kukaa na wanangu
 
miezi mitatu hapana achana na hiyo safari wape wengine waende,the way i love my babies i cant wait 3month without my care nononononononoo think twice other wise unawaacha chini ya mikono ya mdogo wa mke wakike na sio shangazi mtu.
nivea, unaongea kama mama wa nyumbani au mfanya biashara. kama ni mfanya kazi na unataka kuendelea kwenye career yako huwezi kuwaza hivi
 
Last edited by a moderator:
FP ninamaanisha lazima muda wa kuwa na watoto uwepo na muda wa kazi pia uwepo si kila saa kazini huna muda na watoto.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilishawahi fanya maamuzi magumu kweli..........nilimuacha mtoto wangu wa miezi 6 for 2 weeks, it was unbearable lakini i had to do it kwasababu ya hizohizo ishu za kikazi.
Kama ni suala ambalo litabenefit familia yako usiache kwenda, hata ikimaanisha kupeleka watoto kwa ndugu fanya tu alimuradi huyo ndugu awe ni mtu anayejielewa.
 
wewe ni mume wa mke na watoto 2. unaish nje ya nchi, mkeo yupo tanzania sasa mkeo kapata safari ya kikaz kwenda nje ya nchi je utakubali aende ama utakataa? nchi anayokwenda ni tofauti na uliyoko wewe.

yeye anakwenda kikazi na wewe uko huko kikazi. wewe kazi yako ni contract ya muda mrefu yeye ni safari ya muda mfupi. nyumban watoto ni wadogo sana ambao kubaki peke yao pasi usimamizi wa mzazi ni ngumu utafanyeje?

je wewe mama ama wewe baba mtafanyaje?

je unafikiri hela mnazotafuta wewe baba na mama watoto wanazifaidi kwa stail hii ya maisha?

nilipoanza kusoma hii thread nilidhani labda inahusu ishu ya uaminifu kumbe watoto!ukweli ni kwamba siku hizi pesa na utafutaji wake kwa ujumla vimewatenganisha sana wazazi na watoto.tukianza kuchambua hayo mambo unaweza kukuta wengi wetu tunakosea sana wengine hata tukiwa hapahapa bongo,kuna watu hapo dar wanaamka saa 10 alfajiri wanarudi saa 5,hawawaoni watoto wao labda j2!

pesa imetawala maisha yetu ndio maisha ya kisasa
 
Mie sioni kama kuna tatizo
Kama safari si ya muda mrefu unaweza kuwapeleka kwa Bibi ,Dada zako ama ndugu unaeona ni wa karibu na mwenye upendo
..Ila kama ni mwaka oops Boss atafute mtu mwingine wa kwenda .
Au fanya disikasheni na mwenzako lazima muafaka utapatikana wa nini kifanyike
 
Back
Top Bottom