Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
ndio kwani kanyimwa kwenda na watoto huko? maisha ni haya haya kwa nini kujichoresha kwa watu? kwani kuishi nje ya nchi ndo huwezi kulea watoto? au ni lazima watoto walelewe hapa tz huko nchi zingine oxygen hakuna au?Smile wewe kiboko sasa atawapeleka kisha ndo mama asafiri?