The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,906
- Thread starter
- #21
Kiongozi anachaguliwa na watu,watu wanamwomba Mungu wanayemwabudu ili awape hekima ya kumchagua kiongozi anayewafaa,hayo ni sahihi kwa upande wa wenye imani.
Lakini mimi sikubaliani na nyie kwa upande mwingine,wananchi watumie facts pale inapokuja kwenye kumchagua kiongozi,na siyo kupiga kelele wee!Halafu mwishowe mnamwachia Mungu....Mungu hawezi kufanya miujiza ya kukusaidia namna ya kuishi,always kuna principles zinazo guide maisha ya watu...Sisi watanzania tuna tamaduni ambazo zimetupa mixture mbaya sana iliyopelekea matokeo tuliyonayo sasa.
Wananchi should ask the elected leaders if they upheld with their promises na si kusema eti Mungu atamsaidia this time,ama sasa amwombe Mungu ili aweze kutimiza ile ahadi ya "Maisha Bora kwa kila Mtanzania" .....Akili kumkichwa.
Tufanye mambo kwa reality na dini zitusaidie kufikiria kwa makini zaidi na kila mtu kwa imani yake apige dua ili akumbuke kuuliza maswali muhimu kabla ya kumchagua kiongozi.....Na pia kujiuliza kama kweli kiongozi huyo amefanya yale aliyowa ahidi, na siyo kufanya mambo kama tuna work out graph ya piece wise function....Ni muhimu tuwe consistency na si kumwachia Mungu mwishoni kwani ndiyo yale ya kuja kuambiwa ni "Chaguo la Mungu" Kiongozi akitaka kuchaguliwa tena tunarejea ahadi alizotoa na kuona kama ametufikisha wapi and if he deserves re election or not.
Ama kweli dunia tambara bovu.
naona hujanielewa kabisa......
sijasema Kikwete aombe Mungu ili aweze kufanikisha maisha bora kwa kila mtanzania....
mimi nimesema Kikwete kwa ujumla wake kama mtu mwenye jukumu kubwa mbele yake...
anahitaji msaada wa Mungu.... na hakuna sehemu niliosema wananchi wamchague tena
au wasimchague......
Kwangu mimi Kikwete anahitaji msaada wa Mungu hata kama asilimia 90 ya watanzania
wangekuwa wanaridhishwa na uongozi wake.....
kuna vitu ni vigumu kuelewakama huamini Mungu na wala hujui nguvu ya kumuomba mungu
iko vipi.