Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
its all how you've set ya self mentally, if you have set your mind that god offers peace, hope and courage. the moment you inter your tample of worship or read one of his books, then peace and courage enters your mind. Believe or not we are a product of reinforcement and nothing more. Hivyo kwa mtu ambae ataenda kwenye jumba lake kupata hii courage let it be.where does god fit in all this??????
really????????????
hivi unaamini kumshauri kiongozi wa nchi akae karibu na Mungu ni useless advice????????
soma vizuri nilichoandika,sizungumzii uchaguzi wala ahadi zake....... na wala sijasema watu wasichague kiongozi mwingine........
wakichagua mwingine itakuwa bora zaidi.... but the way i see ni kuwa Kikwete ndie
rais now na ataendelea kuwa rais probably mpaka 2015 unless something extra ordinary kitokee.....
na hata akiwa rais kwa miezi tu hiyo michache iliyobaki mpaka uchaguzi......with God's favour
ataweza kufanya mengi aliyoshindwa kufanya huko nyuma.
Hila the bottom line he has to deliver on his promises or else he knows what to do.