Manywele.
Member
- Nov 25, 2011
- 25
- 3
Jana jioni katika taarifa ya habari ITV nilimsikia Nape akisema "hata akibaki peke yake CCM haitakufa" nika baki na maswali kichwani je, yeye ni miongoni mwa waasisi wa chama, au kashaona kuwa viongozi wote na wana CCM Wote wako mguu nje mguu ndan ktk chama hicho kuwa mda wowote wanaweza kukihama chama hicho? Naombeni msaada wenu wana JF.