Niwangapi wanatamani kukutana na hawa wana jf?

nitafurai sana kukutana na hao na wengine wengi humu jamani asa invisible na mzee mwanakijiji
 
Hapo beach kunakuaga na vijimijusi na kaa, uangalie wasije pitia hapo na kuona baadhi ya maeneo ya jiografia yako kama pango na kuamua kuingia ili kujisitiri na jua na upepo!!!
picha nzuri kama vile ni mke wa muheshimiwa nanihii, nani vile?
 
Hapo beach kunakuaga na vijimijusi na kaa, uangalie wasije pitia hapo na kuona baadhi ya maeneo ya jiografia yako kama pango na kuamua kuingia ili kujisitiri na jua na upepo!!!
picha nzuri kama vile ni mke wa muheshimiwa nanihii, nani vile?

Nime pa RENTOKIL hata kunguru hasogei
 
:smile-big::smile-big::smile-big::bowl:

Halafu ULTIMATE za huku kiboko...wamenipa huyu ananilinda

When-a-rape-whistle-just-wont-cut-it.JPG
 
Kwa hapo sina neno, nimepata kiburudisho tosha maana kwenye hili basi naona kila mtu kamnunia mwenzie
 
Natamani kuonana na wana JF wote kwani kila mmoja ananigusa kwa staili yake.
 
Nikawaida ya mwanadamu kuona kile anachokiamini je niwangapi wanatamani wangekutana live na hawa wenye user's name hizi??Nyamayao,Firslady1,Preta,Rose1980,Mwanajamii one,BigMama,thefinest,kibweka,EL Toro,Ndibarema,Katavi,Bujibuji,Kituko,Mwasu,Mwanakijiji,Rutashubanyuma,fidel80,Pakajimmy,dreamliner,Gaijjin,Kakajambazi,acid,kakajambazi,Baba_enock,Rev Masanilo,Fixed Point,Funza dume,Kaizer,Asprin,Smiles,bht,Buchanan,Baba gft,Chauro,Daughter,Dreamer,Dem amsi,Invisble a.k.a Robot,Painkiller,Masiki_Jeuri,Maty,Kimey,Nyani Ngabu,Mchukia ufisadi,Da Sophy,Roya roy,Katerero,KakaKiiza,?:doh:Msanii,Safari_n_Safari, tafadhali tupo pamoja!!
Wengine ningependa nikutane nao, na wengine niwaone kwanza kwa mbaali, then niamue nielekee upande gani.....! Hii ni kwa hisia ninazopata kutokana na majina yao...!
Ngojeni nimalize likizo kwanza ntawajibu niko Cancun kwa sasa

20060906231916_3_1.JPG
Mbona hata mkanda hujafunga? Au unaruhusu selfservice? Aidha, nawashauri wenye hitaji wakajisevie...!

Halafu ULTIMATE za huku kiboko...wamenipa huyu ananilinda

When-a-rape-whistle-just-wont-cut-it.JPG
Hilo lindo ni tamu sana....! Hata ikiwa gerezani unaweza kutamani kuongezewa muda, na kuona msamaha wa raisi kama adhabu tena...!
 
Mbona jina langu hakuna inamaana hakuna anayetaka kukutana na mimi au ndo chuki binafsi.
 
Mbona jina langu hamjalitaja au hakuna anayetamani kukutana nami?

Hata mimi nashangaa, yaani watu wengine bwana UBAGUZI MTUPU!!! aaaaagrrrrr:A S angry:

Lakini najua wako wanataka kunitia machoni, japo kidogo!!:smile-big:
 
dduuuuuuhhhhhh kukutana na hao watu na wana JF wngineo itakuwa makini sana yaani ..... Hopefully one day ... never say never ....
 
mi natamani sana kukutana na rev masanilo,invisible,mzee mwanakijiji na Buchanan.kuna wengine pia wengi sikumbuki majina yote but kuna moja huwa ananichekesha sana nahisi ana vituko akiwa live hivi JF hakunaga get together jamani tupombeke na hata brunch fulani?that will be nice pls admins im sure you can arrange hata get-away just having fun.
 
Back
Top Bottom