LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Mie nampenda Gaijin tu!! natamani nikutane nae! :whoo::whoo:
Mie nampenda Gaijin tu!! natamani nikutane nae! :whoo::whoo:
Mkuu unaweza lala kifudi fudi pia hahahaha!
Vyote!:smile-big::smile-big:
Mie nampenda Gaijin tu!! natamani nikutane nae! :whoo::whoo:
Mimi nitakuwepo halafu kama pati na kuwa mlangoni!!
Am in. Ila wambea na usalama wa taifa waliokosa kazi hatutaki umbea napenda tuwe kijamii zaidi. Na kwa wa Dsm.itakuwa bomba kama tutapanga siku moja tuende beach gani ambapo tutakuwa wanajamii wenyewe tu tukibadilishana mawazo then tufanye utaratibu wa kuonana na wa mikoani pia
KIFUPI NIMEIPENDA HII UKO JUU BRO.
Nikawaida ya mwanadamu kuona kile anachokiamini je niwangapi wanatamani wangekutana live na hawa wenye user's name hizi??Nyamayao,Firslady1,Preta,Rose1980,Mwanajamii one,BigMama,thefinest,kibweka,EL Toro,Ndibarema,Katavi,Bujibuji,Kituko,Mwasu,Mwanakijiji,Sister sisita,Rutashubanyuma,fidel80,Pakajimmy,dreamliner,Gaijjin,Kakajambazi,acid,kakajambazi,Baba_enock,Rev Masanilo,Fixed Point,Funza dume,Kaizer,Asprin,Smiles,bht,Buchanan,Baba gft,Chauro,Daughter,Maralia Sugu,Paka Mweusi,Dreamer,Dem amsi,Invisble a.k.a Robot,Painkiller,Masiki_Jeuri,Maty,Kimey,Nyani Ngabu,Mchukia ufisadi,Da Sophy,Roya roy,Katerero,KakaKiiza,?<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/doh.gif" border="0" alt="" title="Doh" smilieid="169" class="inlineimg" />Msanii,Safari_n_Safari, tafadhali tupo pamoja!!
kuna mmoja ali-log in kwenye internet cafe moja akasahau ku-sign out. Nilipoona id na avatar yake nilicheka kwanza, yaani haviendani kabisaaa. Halafu huwa anapenda kuchangia mada kama kabinti flani hiviii........ yaani kaaazi kweli kweli, so ni bora tusionane tu ili tuendelee kuchangia mada bila kuogopana.