chavalinoti
Member
- Jun 18, 2015
- 13
- 0
maumivu ya shingo upande wa kulia dawa yake nn
(mlhkllklhm.m
j
M
Kula amira pakti 3 kwa siku kwa muda wa mwezi mmoja.kula kila kinachokatiza mbele yako
Kapime H I V mkuu wakati mwingine maumivu ya tumbo yanaambatana na hilo tatizo japo si kwa asilimia 100.nina tatizo la kuumwa na tumbo na nimeenda hospitali na nmepima vidonda vya tumbo nmeambiwa sina(NEGATIVE) nmepewa dawa za kutumia lakn sioni dalili zozote zile za kupona yan maumivu bado yanaendelea na wakat dozi namalizia....hadi sas nmetumia dawa aina zaid ya tatu lkn bado hali inanisumbuwa .........ni tumbo ambalo linauma kwa kiasi fulan sio ile ya kukomoa mkuu ila naona ni mda mrefu sasa yan almost mwezi wa 3 huu naangaika na maumivu hayo.....Na mara nyingi huuma pale ninapokuwa nmetulia yan nmekaa sehem lkn nkitembea hali huwa ni fresh kwa mara nyingi na pia nikiamka asubuhi tumbo nalo hukata utazani nmepona lkn hali huludi kuwa vilele baada ya mda.....MSAADA WAKO MKUU NITUMIE DAWA GAN I KWAN LINANIKOSEASHA RAHA....asante
Mkuu nendaa ukapime sukarininasumbuliwa na tatizo la maeneo mbalimbali ya mwili wangu nahisi kama joto kali linalonipa maumivu kwa ndani, nikiwa katika mazingira ya baridi hali hii hubadilika na kuhisi baridi kali kati ya maeneo yafuatayo hasa miguuni, mapajani, kiunona na mgongoni pia, hali hii husababishwa na nini? na tiba yake inakuwaje? natanguliza shukrani.
Bro ni pm nikusaidiyHarufu mbaya kinywani?
Usile samaki na nyama jitahidi sanaa kula matunda na piga mswaki mara 3 kwa sikuHarufu mbaya kinywani?
Usile samaki na nyama jitahidi sanaa kula matunda na piga mswaki mara 3 kwa siku
Mkuu kula matunda sanaa pia fanya usafi sanaa na maji ya moto vuguvuguNasumbuliwa na uvime,kijinyama kimetokeza sehemu ya haja kubwa.MSAADA TAFADHALI, pia napata kichomi sehem ya kichwa cha uume
wee utakuwa mfiraji njia ya mkojo imezibaMkuu maumivi baada ya kupizi,maumizi yanakuwa kama vile shahawa zinapita kwenye mirija ambayo ni miembamba sana,na maumiv yaanzia kwenye **** hadi kwenye Sehem yakutolea hajakubwa..Nimepima sina magonjwa ya zinaa.
Mkuu unanisingizia bure sijawahi kufanya huo ujinga either kwa kwa makusudi au kukosea.wee utakuwa mfiraji njia ya mkojo imeziba
Basi fanya xrey uone tatizo nnMkuu unanisingizia bure sijawahi kufanya huo ujinga either kwa kwa makusudi au kukosea.