PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,267
- 30,435
Jafari huyuhuyu?
Naufahamu, sio mti mgeni, kwangu, nilikuwa nahisi ni sumu, mti usio na msaada kwangu
Hapana Ni jafari Aniu. HahahaaaaaaaJafari huyuhuyu?
Unaweza kutumia ukajikuta umepona magonjwa mengi uliyonayo bila kutarajia .Naufahamu, sio mti mgeni, kwangu, nilikuwa nahisi ni sumu, mti usio na msaada kwangu
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
UnatumiajeUnaweza kutumia ukajikuta umepona magonjwa mengi uliyonayo bila kutarajia .
Mpata kufa ni dawa bora ya UTITutafute na dawa bora ya mitishamba inayotibu hiki kitu kinaitwa UTI .. huu ugonjwa umekuwa maarufu sana na unaumiza wengi kila uchao
Tumia kijiko kimoja katika glass ya maji moto 250 ml.
Ningeshangaa kama nisingeona comment yako kwenye huu uzi.Tutafute na dawa bora ya mitishamba inayotibu hiki kitu kinaitwa UTI .. huu ugonjwa umekuwa maarufu sana na unaumiza wengi kila uchao
Hapa kwenye UTI ni suala la uelewa pia.Unaweza kufikiri ni muathiriko kwenye njia ya mkojo tu,kumbe ugonjwa umeshapiga hatua mbele.Tutafute na dawa bora ya mitishamba inayotibu hiki kitu kinaitwa UTI .. huu ugonjwa umekuwa maarufu sana na unaumiza wengi kila uchao
Watu hawasemi tu,ila tulioko kwenye fani hii ni ndiyo tunajua maana tunawasaidia wahitaji kila mara.Mbunye nyingi za wanawake zinaandamwa na harufu na uchafu mwingi kiasi kwamba ndoa ni changamoto tena.Jamani msiogope tiba zipo.Maana watu wameshachoma sindano mpaka wakatuliza ball maana baada ya muda tu kitu kinarudia.Mpata kufa ni dawa bora ya UTI
Mkuu hizo dawa za mitishamba zinazosafisha kabisa ndio mimi nazihitaji.Hapa kwenye UTI ni suala la uelewa pia.Unaweza kufikiri ni muathiriko kwenye njia ya mkojo tu,kumbe ugonjwa umeshapiga hatua mbele.Mfano wanawake wengi hupata maambukizi katika njia zao za mkojo...
Tuwasiliane ndugu yangu.Mkuu hizo dawa za mitishamba zinazosafisha kabisa ndio mimi nazihitaji
Nazipataje?
PichaJambo ndugu zangu!!
Huku tukiendelea kutafakari hali ya kisiasa nchini mwetu,tusisahau pia afya zetu! maana afya ndiyo kila kitu...
Ikoje hiyoMpata kufa ni dawa bora ya UTI
HahahahaNingeshangaa kama nisingeona comment yako kwenye huu uzi.
Yaan baada ya kuona heading tu nikasema ngoja nitafute comment ya mshana kisha nirud kuusoma.
Mkuu Mshana Jr. Bado Tuko kwenye Oktava ya Mwaka mpya 2022. Happy New yr.🤣 aithee.Tutafute na dawa bora ya mitishamba inayotibu hiki kitu kinaitwa UTI .. huu ugonjwa umekuwa maarufu sana na unaumiza wengi kila uchao
Huu ninao nyumbani mkuubwa