jitambue

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ladyfurahia

    Jitambue kuwa uko deadline

    HABARINI WADAU Muda mwingi nakuwa mtazamaji na msomaji wa thread za wadau humu ndani sijaweka chapisho kwa muda sasa tplakana na kubanwa na shughuli nyingi sana za kijamii Leo napenda kuongelea jambo moja ambalo ni "KUJITAMBUA KUA UKO DENJAZONE" mwanadamu tumeumbwa tofauti sana wako wenigine...
  2. R

    Mnaoweka mkojo kwenye chupa na kutupa barabarani mnakwaza

    Hivi mtu unafikira nini mpaka unatoa haja ndogo na kuweka kwenye chupa na kisha kwenda kutupa mtaani? Huoni kwa kufanya hivyo mbali na kuharibu mazingira unahatarisha afya za wanaotumia barabara hiyo? Kawe, DSM Hizo kwenye video siyo petroli au pombe, ni mkojo! Lita mbili na zaidi! Mbaya...
  3. Baba Vladmir

    Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

    Jambo watanzania wenzangu!! Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali. NB: Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina, ama mambo dhahania, maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku...
  4. Mozz_Elly

    Jitambue na jithamini

    Jitabue na jithamini, Kwa hali ya kawaida tu unaweza usielewe namanisha nn lakini kumbuka ya kuwa Mungu alivyo kuumba wewe tofauti kabsa na mtu yoyote hapa dunia hii inamaana gani Mungu ameweka kipawa ndani yako cha kipekee sana kabisa yaani hicho kipawa kama utabahatika kukijua hakika maisha...
  5. west9

    Kijana jitambue: Fanya kitu sahihi kwa muda sahihi, ishi maisha yako

    Habari zenu wana JF, Niende kwenye mada moja kwa moja Mimi sio mgeni humu ila nimetumia ID mpya so niwatoe hofu ya hiyo username yangu. Mara nyingi vijana hawatambui ni vitu gani wanapaswa kufanya na kwa wakati gani. Kijana tambua kuwa muda unaoutumia sasa una matokeo mbeleni Ujana una...
Back
Top Bottom