Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

Unataka wamfungie Msanii wao alafu Kampeni za Uchaguzi mwakani 2025 aje aimbe nani?

Sijui wasanii wa lebo ile bila matusi sijui hata wangekuwa wanaimba nini

Maana kwenye nyimbo 10 lazima nyimbo 9 zimejaa matusi tupu

Poor BASATA
Wataimba nini ilihali tabia ni ngozi hazijifichi na ndivyo jinsi walivyo hao Wasanii kimatendo?

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Kwani basata eneo lao la kujidai halina mipaka? Au ndiyo kusema ni hadi Kenya, Rwanda na hata Burundi huko?
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Nyimbo zinazohamasisha uzinzi, ushoga na uvutaji wa bangi na shisha ndizo zinapendwa na mashabiki na ndizo zinazowaingizia wasanii kipato. Unataka waimbe nyimbo zenye maadili wafe njaa? Zingatia maokoto mkuu
 
Back
Top Bottom