Sasa si ungeandika kwa flow nzuri tujue kilichopelekea kufungiwa, unatuacha na maswali mengi bila sababu.Ameimba matusi mambo ya Pwani
Sasa si ungeandika kwa flow nzuri tujue kilichopelekea kufungiwa, unatuacha na maswali mengi bila sababu.Ameimba matusi mambo ya Pwani
kwa kutoa mkuuuvipi ule msikiti alosema anajenga?
Wataimba nini ilihali tabia ni ngozi hazijifichi na ndivyo jinsi walivyo hao Wasanii kimatendo?Unataka wamfungie Msanii wao alafu Kampeni za Uchaguzi mwakani 2025 aje aimbe nani?
Sijui wasanii wa lebo ile bila matusi sijui hata wangekuwa wanaimba nini
Maana kwenye nyimbo 10 lazima nyimbo 9 zimejaa matusi tupu
Poor BASATA
kwa kutoa mkuuuvipi ule msikiti alosema anajenga?
Kwani basata eneo lao la kujidai halina mipaka? Au ndiyo kusema ni hadi Kenya, Rwanda na hata Burundi huko?Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Nyimbo zinazohamasisha uzinzi, ushoga na uvutaji wa bangi na shisha ndizo zinapendwa na mashabiki na ndizo zinazowaingizia wasanii kipato. Unataka waimbe nyimbo zenye maadili wafe njaa? Zingatia maokoto mkuuKusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Me nahisi madawa ya Kulevya yanawaharibuAnapenda sana hio michezo huyo mtoto alafu ndio lugha zao huko usafini sasa wakifika kwenye Media wanajisahau km wapo mbele ya camera sijui wanakua washapasha ubongo
Huyu ni mwehu kabisa ,anatakiwa aswekwe hata ndani ili kumtia adabu , na anadhani anaweza kumdhibiti mwanaume kwa kutukana?Aliiimba matusi Hadharani..Zanzibar ya kuhamasiha ushoga
View attachment 2925119
Achutame yaisheMzee wa kataa Ndoa vipi tena
Mku. Ni tusi?Aliiimba matusi Hadharani..Zanzibar ya kuhamasiha ushoga
View attachment 2925119
Ndio wanakua km wamerukwa na akiliMe nahisi madawa ya Kulevya yanawaharibu
Mkunduni, acha kujifanyaMku. Ni tusi?
Kwa kweli wanachangia sana mmomonyoko wa maadili Kwa aina ya nyimbo wanazoimba.Wataimba nini ilihali tabia ni ngozi hazijifichi na ndivyo jinsi walivyo hao Wasanii kimatendo?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
TV ni sawa na simu tu, we mwenyewe unajikontroo vipi kiakili la sivyo hakuna ushenzi wowote hutashuhudia...Nina ndugu yangu mmoja ananyumba ya kisasa ina kila kitu ila hajanunua TV sasa ndo namuelewa
Sio Kwa Wasanii wa Lebo ileTunaamini BASATA watatimiza wajibu Wao.
Anasema yeye ni wakeKwa kweli wanachangia sana mmomonyoko wa maadili Kwa aina ya nyimbo wanazoimba.
Mara Shisha,Pombe, kuweka kwenye mtaro n.k
Ni disaster Kwa kweli
Hutaki tena sabuni/mafuta mdau?huo mwili wake ulivyokuwa sweaty, anantamanisha kweli