Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,132
- 20,295
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.