kelvin Brown
Member
- Aug 10, 2012
- 7
- 0
jamani nilikuwa naitaji kujua application form na joining instruction za udsm nitazipata vipi?nimesikia znapatikana kwenye mtandao ila nmezikosa
hii press release kwa mwaka wa kwanzajamani nilikuwa naitaji kujua application form na joining instruction za udsm nitazipata vipi?nimesikia znapatikana kwenye mtandao ila nmezikosa
UNIVERSITY OF DAR-ES-SALAAM
Press Release
P.O. BOX 35091  DAR ES SALAAM  TANZANIA
TANGAZO
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinatawangazia wale wote
walioomba kujiunga na Chuo hicho kusomea shahada za awali
kwa mwaka wa masomo 2012/2013 kuwa majina ya wale
waliochaguliwa yapo kwenye tovuti University of Dar es Salaam - Tanzania - Home -.
Wanafunzi waliochaguliwa
tarehe 1 Oktoba 2012.
watatakiwa
kuwasili
chuoni
Imetolewa na Prof. Makenya A.H. Maboko
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Taaluma
Direct +255 22 2410751
Telephone: 255 22 2410500-8 ext. 2473/2009
Telefax: +255 22 2410078
Telegraphic Address: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
E-mail: relation@admin.udsm.ac.tz
Website address: University of Dar es Salaam - Tanzania - Home -
hii press release kwa mwaka wa kwanza
ninavyofahamu mimi kuna kitu kianitwa admission letter ambayo ndio sawa sawa na join instruction letter barua hii kipindi nasoma nilizipata chuoni tarehe ya kufungua barua hii inaviambatishi ambavyo vinaonesha kozii uliyochaguliwa MEDICAL EXAMINATION FORM ,maelezo mengine kama gharama za registration , meals and accomadation allowances kiasi cha ada unacotakiwa kulipa nk .. sijajua kama utaratibu umebadilika barua hii ndio inakuwa kama ID/KITAMBULISHO CHAKO MWANZONI KABLA UJAPATA STUDENT ID CHA MSINGI NINGEKUSHAURI SUBIRI TAREHE YA KUFUNGUA HII NDIO YA MSINGI JONGEA CHUO UTAPATA UTARATIBU WOTE ..
UDSM huwa hawapimi unachotakiwa kufanya ni kuandaa biku tatu(sijui kama kiwango kishapanda) halafu form itatiwa saini pale pale chuoni...UJIPIMA MWENYEWE HOS[ITALI YOYOTE UNAYOJUA HAPA DUNIANI ukifika na matokeo yako pale chuoni hawayapokei inakulazimu uende na hizo buku tatu za so bora tu uwape chao watu wafaudu mjini..........si unajua tena mkuumkuu,hapo kwenye medical examination,tunaenda kupima afya au tunafoji tu?
mimi nilipima hospitali nyingine na walipokea....halafu kujaziwa hospito ya chuo ni 5000 siku hizi..UDSM huwa hawapimi unachotakiwa kufanya ni kuandaa biku tatu(sijui kama kiwango kishapanda) halafu form itatiwa saini pale pale chuoni...UJIPIMA MWENYEWE HOS[ITALI YOYOTE UNAYOJUA HAPA DUNIANI ukifika na matokeo yako pale chuoni hawayapokei inakulazimu uende na hizo buku tatu za so bora tu uwape chao watu wafaudu mjini..........si unajua tena mkuu
Samahani hivi vyeti ni photocopy au original ? Napenda kujua wana jf
hii ya saint joseph kayumbaa unampa nani sasa...wapatie wenzako wenye tokeo la kulenga kwa manati,,sie wa UDSM hatutaki iyoooo