laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
- Thread starter
- #101
Kuwa mkweli tu tena wala usipoteze muda. Haya mambo yanayotokea duniani kote na yanafanywa na jinsia zote na wewe siyo wa kwanza. Itakuwa vizuri kuwa naye ana kwa ana kama una ujasiri wa kufanya hivyo.
Thanks Bubu nashukuru kwa ushauri wako, lakin huyu mtu yuko mbali kwaiyo kuonana itakuwa ngumu zaidi ni kumpigia simu maana tuko nchi tofauti but thanks very much