Habari zenu wana jamii!
Unamwambiaje mchumba wako wa zamani kuwa hutofunganae ndoa tena? kwasbb umeshaoa naombeni mchango wenu!
Lau!! Swali lako ni gumu lakini lina majibu mengi.
Kwanza unaweza kunipa sababu kwa nini humuoi mchumba wako huyo unaye mbwaga? na kwanini unamuoa huyu unayetaka kumuoa?
Habari zenu wana jamii!
Unamwambiaje mchumba wako wa zamani kuwa hutofunganae ndoa tena? kwasbb umeshaoa naombeni mchango wenu!
u will pay for that,rememba wat goes around........y did u date her?
u will pay for that,rememba wat goes around........y did u date her?
Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
u will pay for that,rememba wat goes around........y did u date her?
Do you know that you have wasted her time? yawezekana kapata wachumvba wengi tu wa maana kawamwaga kwa ajili yako kumbe wewe ushaoa. **************Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
Ndibalema mpenzi wa zamani hajanikosea kabisa, na huyu mke nimempendea vingi tu ana sifa ya kuwa mke pia
Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
Habari zenu wana jamii!
Unamwambiaje mchumba wako wa zamani kuwa hutofunganae ndoa tena? kwasbb umeshaoa naombeni mchango wenu!
anti mama therengeti, umeshawahi kuumizwa?
Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
Do you know that you have wasted her time? yawezekana kapata wachumvba wengi tu wa maana kawamwaga kwa ajili yako kumbe wewe ushaoa. **************